Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 4,590
- 11,379
AMEN..Very sorry mkuu! Mimi ni elfu mbili na 19 ila naona nimekaa sana! Sasa we si itakuwa balaa. Mungu akusaidie mkuu huu mwaka uwepo PDF📁📁📃📃. Naimani utatoboa vzr tu! Amina
AMEN..Very sorry mkuu! Mimi ni elfu mbili na 19 ila naona nimekaa sana! Sasa we si itakuwa balaa. Mungu akusaidie mkuu huu mwaka uwepo PDF📁📁📃📃. Naimani utatoboa vzr tu! Amina
Watu 120k wote sifa wanazoUkiwa na sifa tu unapata
Itatoka watulieHadi PDF itoke mtakuwa mmechoka sanaaa
Hii ilikuwa Sana Kuna mmoja alimaliza 2020 na alipata hizo ajira alafu kwenye PDF akaandikiwa amemaliza 2015Make hapo kwanza ncheke.
Nakumbuka ajira za 2021 kuna mdada alimaliza 2019 alipata ajira huo mwaka ila kwenye pdf alionekana eti kamaliza 2016.
Nikajua tayari rupia ishapenyezwa kwenye uzia.
Kiufupi loopholes zipo sana tu
Na namba yake ya form four, waliibadilisha maana namba ya form four inaonekana, Ila na Tamisemi wajinga wakitaka wasigundulike wangepanga Kam za 2020 hakuna kuweka mwaka wa kuhitimu[emoji2]Hii ilikuwa Sana Kuna mmoja alimaliza 2020 na alipata hizo ajira alafu kwenye PDF akaandikiwa amemaliza 2015
Na Halimashauri wanapokelewa fresh bila shida?Make hapo kwanza ncheke.
Nakumbuka ajira za 2021 kuna mdada alimaliza 2019 alipata ajira huo mwaka ila kwenye pdf alionekana eti kamaliza 2016.
Nikajua tayari rupia ishapenyezwa kwenye uzia.
Kiufupi loopholes zipo sana tu
Kwani li PDF lina mwagwa lini..?? Wale ambao hatuna connection Mungu wetu awe na sisi tuvukeHi hope mko poa Sana.
Nimeshangaa kuona kijana mmoja eti anataka kutoa 500K kwa kiongozi Fulani ngazi ya wilaya eti atamsaidia kupata kazi Tamisemi.
Yaani huu ujinga wa vijana wa siku hizi ni hatari, wengine wanatoa 50K kwa mkuu wa Shule ili awaandikie Barua za kujitolea eti ndo watapata ajira.
Vijana acheni Ujinga, Tamisemi hakuna Rushwa, watu wanatenda haki hakuna vya Connection Wala Nini, hata mtoto wa waziri hawezi penyezwa kijinga.
Badirika
Ummy Mwalimu alivyokuwa anaropoka mwaka Jana eti hakutakuwa na kimemo chochote[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Make hapo kwanza ncheke.
Nakumbuka ajira za 2021 kuna mdada alimaliza 2019 alipata ajira huo mwaka ila kwenye pdf alionekana eti kamaliza 2016.
Nikajua tayari rupia ishapenyezwa kwenye uzia.
Kiufupi loopholes zipo sana tu
Mwezi huu mzee babaKwani li PDF lina mwagwa lini..?? Wale ambao hatuna connection Mungu wetu awe na sisi tuvuke
Second week of JuneNa wenyewe wayatoe
Kwani li PDF lina mwagwa lini..?? Wale ambao hatuna connection Mungu wetu awe na sisi tuvuke
Acha nitunze hela za bando maana hali ni ngumu kwa mtaa. Mungu asaidie niwepoMwezi huu mzee baba
Zakia acha uongo, PDF Hadi second week of JuneTayari mboni
Toka lini..? Wewe jamaaTayari mboni
Unga MB za mwezi [emoji2]Acha nitunze gela za bando maana hali ni ngumu kwa mtaa. Mungu asaidie niwepo
Amechanganyikiwa [emoji2]Toka lini..? Wewe jamaa
Hela zipo sasaUnga MB za mwezi [emoji2]