Vijana acheni ujinga, hakuna Mambo ya Connection TAMISEMI

Vijana acheni ujinga, hakuna Mambo ya Connection TAMISEMI

Kama ilivyo ada,koneksheni zinafanya kazi sana,itashangaza mtu wa 2021 anapata,wa 2016 anaachwa na sifa ni zilezile.Tanzania ya koneksheni ingawa watapata hata ambao hawana koneksheni japo wachache.
 
Kama ilivyo ada,koneksheni zinafanya kazi sana,itashangaza mtu wa 2021 anapata,wa 2016 anaachwa na sifa ni zilezile.Tanzania ya koneksheni ingawa watapata hata ambao hawana koneksheni japo wachache.
Not easy kwamba 9800 wote watapatikana kwa connection
 
Inaweza kuwa kweli ila msituonee wa 2021 jamani lyf ngumu kwa kila mtu, akipata usinune tuwe kama kada zingine walimu tuna choyo sana
Sasa kuhusu suala la kuajiriwa 2021 kama ana vigezo asichukuliwe acheni choyo. Wallah mimi ni 2021 naamini nitapata
Mkuu walimu wote Wana sifa, hayo Mambo ya umri, mwaka wa kuhitimu, Ni vigezo vya kupunguza watu Kama wewe Ni physics ushapata Ila Kama Ni masomo mengine 2021 kazi ipo
 
kijana wa mto wa mbu connection zipo 100%
sema kuna nafasi nyingi ivo haziwezi isha kwa connection watu 10000 ni wengi ila zipo sana

shida ni je upo njia sahihi
Ila Ni kweli nafasi 9800 nyingi ata connection zikiwa 2000 bado nafasi zinabaki 7800 daa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Not easy kwamba 9800 wote watapatikana kwa connection
Siyo wote,ila wengi wa koneksheni,wamekonektiwa.Utaona hapo wa 2016,17 wanabaki na 2020,2021 wanachukuliwa wakati sifa zinalingana.
 
Wewe usiseme hivyo kuna mtu alipata kazi kimya kimya ya ualimu na wala hazikutangazwa acha ya hivyo, unahisi wadau wa wazir husika wa jimboni kwake atakosa kuwapitisha uanadhani,usijidanganye wallah
Wadau wa Omurushaka, Kayanga, Kaisho, Karagwe town so watapata kazi maana ndo jimbo la bashungwa
 
Back
Top Bottom