Vijana acheni ujinga, hakuna Mambo ya Connection TAMISEMI

Vijana acheni ujinga, hakuna Mambo ya Connection TAMISEMI

Tuseme ukweli tu connection za Tamisemi ni ngumu sana, kama alivyotabainisha mleta uzi.

Kuna dogo kaka yake ni mkurugenzi wizarani Tamisemi. Na katibu mkuu wa wizara ni rafiki yake sana na kaka yake, alikuwa anadai ajira yeye uhakika lakini kwa sasa angalia na kusaga meno.
Niliwaambia wakabisha
 
Tuseme ukweli tu connection za Tamisemi ni ngumu sana, kama alivyotabainisha mleta uzi.

Kuna dogo kaka yake ni mkurugenzi wizarani Tamisemi. Na katibu mkuu wa wizara ni rafiki yake sana na kaka yake, alikuwa anadai ajira yeye uhakika lakini kwa sasa angalia na kusaga meno.
Acha uongo,we mtu kka yake mkurugenz analiliaje ajira za ualimu, mbna anaingia dakika 1 tu, au mkurugenz wa vicoba
 
Acha uongo,we mtu kka yake mkurugenz analiliaje ajira za ualimu, mbna anaingia dakika 1 tu, au mkurugenz wa vicoba
Sasa kama kasomea ualimu alilie ajira zipi?

Halafu usidhani hao wakubwa wa Tamisemi wametokea familia za kishua. Wengine ni watoto wa wakulima na kwao ni maskini tu na wamepanda vyeo enzi za Samia au mwendazake hivyo mdogo wa mkurugenzi kusomea ualimu wala sio kitu cha ajabu.

Ninachokuambia ni ukweli, Mungu Shahidi.
 
Tuseme ukweli tu connection za Tamisemi ni ngumu sana, kama alivyotabainisha mleta uzi.

Kuna dogo kaka yake ni mkurugenzi wizarani Tamisemi. Na katibu mkuu wa wizara ni rafiki yake sana na kaka yake, alikuwa anadai ajira yeye uhakika lakini kwa sasa analia na kusaga meno.
Uongo mchana kweupe. Kaka ake ni Mkurugenzi wa Wizara TAMISEMI halafu alilie ualimu? Huu ualimu huu [emoji3][emoji3][emoji3]
Acha kabisa
 
Sasa kama kasomea ualimu alilie ajira zipi?

Halafu usidhani hao wakubwa wa Tamisemi wametokea familia za kishua. Wengine ni watoto wa wakulima na kwao ni maskini tu na wamepanda vyeo enzi za Samia au mwendazake hivyo mdogo wa mkurugenzi kusomea ualimu wala sio kitu cha ajabu.

Ninachokuambia ni ukweli, Mungu Shahidi.
Hapana mkuu, umedanganywa yawezekana huyo ni kaka, mtoto wa mama mdogo aliyeacha na baba mdogo kwa babu mdogo wake babu.
FYI hizi taasisi ikifika kipindi cha ajira hua wanatangaziana nafasi zao na top leaders wanakua na nafasi nyingi kuliko their subordinates. Chukua hio toka kwangu.
 
Hapana mkuu, umedanganywa yawezekana huyo ni kaka, mtoto wa mama mdogo aliyeacha na baba mdogo kwa babu mdogo wake babu.
FYI hizi taasisi ikifika kipindi cha ajira hua wanatangaziana nafasi zao na top leaders wanakua na nafasi nyingi kuliko their subordinates. Chukua hio toka kwangu.
Nina uhakika na ninachokuambia by the way dogo na kaka yake ni ndugu zangu wa karibu.

Nawafahamu vizuri bila kupepesa macho. Huyo jamaa alishawafanyia connection watu ajira zilizopita lakini mwaka huu kagonga mwamba.
 
Mkuu, huyo jamaa anadanganya. TAMISEMI inasimamia miradi mingapi nchini hadi Kaka Mkurugenzi ashindwe mpachika mdogo wake huko eti aje amuweke kwenye ualimu apangiwe ndani vijijini huko
Miradi ipi inayohusisha kada ya mtu aliyesomea ualimu?

Taja mmoja tu mimi nijitoe JF

Kuna course ambazo kama mtu umesomea ukiwa na mtu mkubwa Tamisemi ni rahisi kutoboa. Ualimu kamati yake inahusisha mpaka ma spy wa Ikulu.
 
Nina uhakika na ninachokuambia by the way dogo na kaka yake ni ndugu zangu wa karibu.

Nawafahamu vizuri bila kupepesa macho. Huyo jamaa alishawafanyia connection watu ajira zilizopita lakini mwaka huu kagonga mwamba.
Watu hawaamimi huu mwaka hakukuwa na connection
 
Miradi ipi inayohusisha kada ya mtu aliyesomea ualimu?

Taja mmoja tu mimi nijitoe JF

Kuna course ambazo kama mtu umesomea ukiwa na mtu mkubwa Tamisemi ni rahisi kutoboa. Ualimu kamati yake inahusisha mpaka ma spy wa Ikulu.
Mpaka ma spy hivi vi ajira vya Tamisemi
 
Miradi ipi inayohusisha kada ya mtu aliyesomea ualimu?

Taja mmoja tu mimi nijitoe JF

Kuna course ambazo kama mtu umesomea ukiwa na mtu mkubwa Tamisemi ni rahisi kutoboa. Ualimu kamati yake inahusisha mpaka ma spy wa Ikulu.
Nina ndugu ambaye mama ake ni Mkurugenzi (Idara kapuni iko related na TAMISEMI pia) hapo hapo Dom HQ. Huyu dada hakumaliza hata chuo ila kwa vile mama ni boss amekua anaenda kwenye projects nyingi mpaka anavuka mipaka ya Tz like Rwanda, Burundi, Kenya etc
 
Nina uhakika na ninachokuambia by the way dogo na kaka yake ni ndugu zangu wa karibu.

Nawafahamu vizuri bila kupepesa macho. Huyo jamaa alishawafanyia connection watu ajira zilizopita lakini mwaka huu kagonga mwamba.
Mkuu, natamani niuseme ukweli ila basi acha tu tuishie hivi. Huenda dogo anaandiliwa mahali pengine pa kwenda kulamba asali ya Nyuki wadogo.
 
Tuseme ukweli tu connection za Tamisemi ni ngumu sana, kama alivyotabainisha mleta uzi.

Kuna dogo kaka yake ni mkurugenzi wizarani Tamisemi. Na katibu mkuu wa wizara ni rafiki yake sana na kaka yake, alikuwa anadai ajira yeye uhakika lakini kwa sasa analia na kusaga meno.
Hapa anatafutwa mtu ajifanye anaprove kumbe anajichoma. Be careful [emoji846]
 
Back
Top Bottom