Vijana acheni ujinga, hakuna Mambo ya Connection TAMISEMI

Vijana acheni ujinga, hakuna Mambo ya Connection TAMISEMI

Hi hope mko poa Sana.

Nimeshangaa kuona kijana mmoja eti anataka kutoa 500K kwa kiongozi Fulani ngazi ya wilaya eti atamsaidia kupata kazi Tamisemi.

Yaani huu ujinga wa vijana wa siku hizi ni hatari, wengine wanatoa 50K kwa mkuu wa Shule ili awaandikie Barua za kujitolea eti ndo watapata ajira.

Vijana acheni Ujinga, Tamisemi hakuna Rushwa, watu wanatenda haki hakuna vya Connection Wala Nini, hata mtoto wa waziri hawezi penyezwa kijinga.

Badirika
Nawakumbusha tena hakuna connection Tamisemi
 
Jana nimekutana na mshikaj wangu ni utumish hosp moja nikamwambia tamisemi wametema akasema pita nazo ila mbina hujanambia tukajadili pale

Akataka kuniandika recommendation letter ila nikamwambia itakaa wap sasa wakat mfumo unakubal
Cheti cha kuzaliwa
Vyeti vya form six na four
Certificates
Diploma
Advanced diploma
Degrees
Master
PhD
Barua tu
HAKUNA
Recommendation
Cv
Wala ni nini

Sasa hao wanatak kupigwa
Uzuri tamisemi walitoa taarifa kwa umma kuw hata vyeti sio lazima kugongwa mihuri
 
Hi hope mko poa Sana.

Nimeshangaa kuona kijana mmoja eti anataka kutoa 500K kwa kiongozi Fulani ngazi ya wilaya eti atamsaidia kupata kazi Tamisemi.

Yaani huu ujinga wa vijana wa siku hizi ni hatari, wengine wanatoa 50K kwa mkuu wa Shule ili awaandikie Barua za kujitolea eti ndo watapata ajira.

Vijana acheni Ujinga, Tamisemi hakuna Rushwa, watu wanatenda haki hakuna vya Connection Wala Nini, hata mtoto wa waziri hawezi penyezwa kijinga.

Badirika
Ukiwa huna connection ni rahisi kutamka hivi ila nakuhakikishia njia zipo na watu wanapita .

Please yeyote asijisumbue kuja PM .
 
Unaona sasa unavyopaniki roho mbaya imetoka wapi hapo yani kumuonea huruma wa 2015 huyu aliesugua kitaa ndio roho mbaya ?


Hapo chini si nimeandika mtapata ila ka mkijua busara lazima itumike
Na ndio iko hivyo siku zote


We sali kama ulivyosali kwenye hio comment yako majina ya kitoka nitakuja kuquote tena nikukumbushe tupo hapa
Hakuna tuzo ya utesekaji bro
Ikiwa tutamuonea huruma wa 2015 means huyu 2021 atapata nafas 2028 nzee
Lets them to decide
Allah ndo anaejua
Everyone can get lucky
Kama yako ni yako hata wakibana
 
Back
Top Bottom