Vijana acheni ujinga, hakuna Mambo ya Connection TAMISEMI

Vijana acheni ujinga, hakuna Mambo ya Connection TAMISEMI

Tuseme ukweli tu connection za Tamisemi ni ngumu sana, kama alivyotabainisha mleta uzi.

Kuna dogo kaka yake ni mkurugenzi wizarani Tamisemi. Na katibu mkuu wa wizara ni rafiki yake sana na kaka yake, alikuwa anadai ajira yeye uhakika lakini kwa sasa angalia na kusaga meno.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji2][emoji2][emoji43][emoji43][emoji2]
 
Back
Top Bottom