Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 7,766
- 18,211
Umeelewa nilichoandika?How mwalimu wa uko Muleba
""Mbona unapingana na heading yako?""
Umesema ""Vijana acheni ujinga, hakuna Mambo ya Connection Tamisemi"" mara Tena unasema ""Ila Ni kweli nafasi 9800 nyingi ata connection zikiwa 2000 bado nafasi zinabaki 7800 daa"" na ""Haiwezekani ajira 9800 wote wapate wenye connection, sema Kama connection ni majina 20 tu""
Kwahiyo hapa...
Tunazungumzia availability of the Connection au kiasi(quantative) cha connection?
MBONA UNAPINGANA NA HEADING YAKO?
#YNWA