Vifurushi vya Vodacom vyarejea

Vifurushi vya Vodacom vyarejea

Ofisi za halotel Dodoma ziko wapi nakumbuka moja ilikuwa barabara ya 7 na ilifugwa muda kidogo....kwa sasa wanapatikana wapi wazee???
 
Wakuu wasalam !nimeona mabadiliko kwenye vifurushi hususan internet kwa shilling elf 3000 unapata gb3 week nzima awali nilikuwa napata gb 1.2 kwa week
Hii inaweza kuwa nafuu kwangu mimi

Sijui kwako *149*03# Zama ujionee
Naona wanaangalia sura mbona mimi bado mziki uko pale pale
 
Kwangu Halotel 5000 Gb 7....ila Internet ya kishamba sana aisee, mara haisomi 4G, mara network hakuna.....ndiyo mara ya kwanza natumia hii, ni cheap ila hopeless kabisa
Me mwenyewe nimehama voda nkahamia Halotel. But I miss speed ya voda, Halotel ni konokono
 
Jamani serikali walituambia kupitia Makamu wa rais Ndani ya masaa 24 vifurushi vinakuwa kama zamani hadi Leo kimya.
 
Kiukweli lazima mtu ujipange,tofauti na hivyo mayowe hayatoisha,mchuzi moto wali moto hakuna penye nafuu.
Halotel gb kibao ila net sasa ndo tatizo yani haifunguki kwa kasi.
Voda wanakuwa wajeuri maana wanajua speed yao iko na kasi

Ova
 
Back
Top Bottom