King Rabbit
JF-Expert Member
- Mar 29, 2015
- 1,170
- 4,334
"Bundle,bundle langu wengine wanabandua boko"
Na usipomtia bundle wenzako wanamtia.
Na usipomtia bundle wenzako wanamtia.
Hii ishu ni kweli mkuu. Leo asubuhi nipo home kila nikicheki menu kuna vifurushi vya kipumbavu, nimetoka ubungo muda sio mrefu nikiwa huko nilicheki menu ni kweli nikakuta vifurushi vimerudi basi nikasema bora tuendelee kufurahia vifurushi vya zamani. Nimerudi sahivi nyumbani napiga tena kwenye menu yao ili nijiunge nakutana na utopolo wao wa mwanzo hapa pumbavu zao. 😡😡Nenda sehemu nyingine ambao simu itasoma mnara tofauti na wa awali.
Yaani Nina hasira nimekula haragwe halafu nanunua data Kwa bei chafu!. Halafu lovely mbona kwio?.🤣🤣🤣🤣
Pole my lovely...!