DA HUSTLA
JF-Expert Member
- Mar 5, 2012
- 3,906
- 4,235
Hawa jamaa mtandao wao ukoje kwa hapa Dar?Nimejiweka Zantel ni burudani kabisa raha mustarehe.
1500=1.5 gb-160 mnts-500 sms per 7 dys.
1000=1 gd 7 dys.
10,000=10 gb 30 dys.
Hawa jamaa mtandao wao ukoje kwa hapa Dar?Nimejiweka Zantel ni burudani kabisa raha mustarehe.
1500=1.5 gb-160 mnts-500 sms per 7 dys.
1000=1 gd 7 dys.
10,000=10 gb 30 dys.
Kangu bado pagumuWakuu wasalam !nimeona mabadiliko kwenye vifurushi hususan internet kwa shilling elf 3000 unapata gb3 week nzima awali nilikuwa napata gb 1.2 kwa week
Hii inaweza kuwa nafuu kwangu mm
Sijui kwako *149*03# Zama ujionee
Mbona sioni ama kuna special numbersWakuu wasalam !nimeona mabadiliko kwenye vifurushi hususan internet kwa shilling elf 3000 unapata gb3 week nzima awali nilikuwa napata gb 1.2 kwa week
Hii inaweza kuwa nafuu kwangu mimi
Sijui kwako *149*03# Zama ujionee
Hakuna jipyaWakuu wasalam !nimeona mabadiliko kwenye vifurushi hususan internet kwa shilling elf 3000 unapata gb3 week nzima awali nilikuwa napata gb 1.2 kwa week
Hii inaweza kuwa nafuu kwangu mimi
Sijui kwako *149*03# Zama ujionee
Umepiga menu gani mbona sisi haiji hivyo?Asante vodacomView attachment 1753725
Mambo halotel GB 3 kwa wiki 2 kwa Tsh. 3000 t
hapo ndo penyeweNimejiweka Zantel ni burudani kabisa raha mustarehe.
1500=1.5 gb-160 mnts-500 sms per 7 dys.
1000=1 gd 7 dys.
10,000=10 gb 30 dys.
Yes dk ni mitandao yote tunatesa na Zantel yetuHicho cha 1500, hizo dk ni za mitandao yote?
Kwa walio pata namb hz toka mwaka 2007. Ndio wamepewa kipaumbele ahahah![]()