Jerry Ekky
JF-Expert Member
- May 6, 2018
- 1,682
- 5,051
Labda utafute mfanyakazi wa voda mkuu, vinginevyo utatapeliwa tuuNiunganishe na hik kifurushi
Labda utafute mfanyakazi wa voda mkuu, vinginevyo utatapeliwa tuuNiunganishe na hik kifurushi
Airtel naona wapo vyema zaidi.Thank you vodacom.
Njoo pm mkuuNiunganishe na hik kifurushi
kwa sasa haifanyi kazi ndugu yangu kwa tuliobahatika tumshukuru Mungu maana naona wamezisitisha kwa mudaTunaomba muongozo jinsi ya kufanikisha hilo suala mkuu
GB60 kwa miezi 6 mi nakuunga. Na utalipia baada ya kuona bandokwa sasa haifanyi kazi ndugu yangu kwa tuliobahatika tumshukuru Mungu maana naona wamezisitisha kwa muda
Mtandao gani huu??GB60 kwa miezi 6 mi nakuunga. Na utalipia baada ya kuona bando
Mtandao gani huu??
Kwa mwezi unapata GB ngapi???Voda
10Kwa mwezi unapata GB ngapi???
Kwa shigapi na unaungaje kwa kunitumia code au ww ndio unaunga huko huko
Bei gani na utaratibu ukojeVoda
Kaka niunganishe mmGB60 kwa miezi 6 mi nakuunga. Na utalipia baada ya kuona bando
Nitumie code nijiunge mwenyeweGB60 kwa miezi 6 mi nakuunga. Na utalipia baada ya kuona bando
Njoo inbox mkuuGB60 kwa miezi 6 mi nakuunga. Na utalipia baada ya kuona bando
I see. Mtandao gani. Na inalipiwa ngapi?GB60 kwa miezi 6 mi nakuunga. Na utalipia baada ya kuona bando
naulizaje, ilo bando litatumika kwenye iyo simu tu ama kwenye simu yoyote ikiwa line ni ileileProcesss ni
Uwe na sm tajwa
Dawnload app mtk engineering mode
Then ingia mtk seting
Then nenda cds information
Then nenda mtk information
Then nenda radio information
Then click sim one
Then andika E herufikuwa kama hvo
Then chagua ..... 1.7""
Then katkat ya hzo alama za funga semi weka code mfano .....1.7"35444400076357888"
baada ya hapo weka nafas moja mbele ya +
Then bonyeza SEND AT COMMAND
IKIkuandikia send at command is ok jua umepatia but okiandika ERROR kwenye processes kuna sehem umekosea
Ikiandika ok zima sm then washa
Baada ya kuwasha simu cha kufanya nenda kwenye phone then bonyeza *#06# itatokea imei mbili moja ya juu itafanana na code niliyo kutumia
Baada ya hapo kama imei ya juu na chini hazijafanaana cha kufanya rudia process now baada ya kubonyeza E mbele ya + now click .......1.10 badala ya 1.7
Then malizia process zote kama apo juu zima sm na kuwasha cheki imei zikifanana juu na chini na code nilokutumia ushafanikisha
Last process unatuma neno Zawadi kwenda 15300 kwenye laini ya vodacom iliyopo kwenye sim inayosapoti bando
Simu yoyote, isipokuwa kujiunga ni lazima uwe na simu tajwanaulizaje, ilo bando litatumika kwenye iyo simu tu ama kwenye simu yoyote ikiwa line ni ileile