Maskini hajui MBYaani leo vifurushi vimepanda bei maradufu shilingi 1000 unapata mb 350 hii ni kwenye tigo huko airtel na voda ni majanga serikali iliyochaguliwa na "maskini" iko wapi? Au huku ndio kuisoma namba kwenyewe?
Maskini hajui MBYaani leo vifurushi vimepanda bei maradufu shilingi 1000 unapata mb 350 hii ni kwenye tigo huko airtel na voda ni majanga serikali iliyochaguliwa na "maskini" iko wapi? Au huku ndio kuisoma namba kwenyewe?
wewe akili zako ziliondoka na ule mkia uliokwatwa hivi majuzi.Ndio safi maana mmezidi kutumia Data kwa mambo yakipuuzi
Wengine hutumia kwa mambo ya maendeleo
Kila siku Fb kuitusi Serikali.
Nabado
HAMIA HALOTELYaani leo vifurushi vimepanda bei maradufu shilingi 1000 unapata mb 350 hii ni kwenye tigo huko airtel na voda ni majanga serikali iliyochaguliwa na "maskini" iko wapi? Au huku ndio kuisoma namba kwenyewe?
Yaani leo vifurushi vimepanda bei maradufu shilingi 1000 unapata mb 350 hii ni kwenye tigo huko airtel na voda ni majanga serikali iliyochaguliwa na "maskini" iko wapi? Au huku ndio kuisoma namba kwenyewe?
IKiwa Halotel hawajapandisha kwa kweli hamna namna; itabidi nihamie huko manake kilichofanywa na jamaa wa Utatu Haramishi ni uhuni usiokubalika hata kidogo! Kwanza kuna kila dalili kwamba wamefanya collusion jambo ambalo halikubaliki kwenye soko huru. There's no way kampuni zote tatu zipandishe gharama kwa wakati mmoja halafu iwe hawajakubaliana. Na ikiwa Halotel nao watafuata upuuzi uu, nitajiunga TTCL hata kama wao gharama zao zitakuwa juu ili mradi tu hawa washenzi wasiipate tena pesa yangu japo kwa mwezi.Njoo Halotel
Acha mawazo ya hovyo wewe... usidhani kila anayetumia internet ni kwa ajili ya JF na Facebook; hapa tulipofikia internet ni bidhaa muhimu kwa watu wengi tu kama ilivyo kwa umeme! And FYI, watu wa Facebook wala hawawezi kulalamika kuhusu gharama za internet kv matumizi yao ni madogo sana mbali na kwamba mitandao mingine inatoa free MB kwa ajili ya Facebook! Binafsi, 100% ya kazi zangu zinatumia internet na watu kama mimi tupo wengi tu hapa mjini!Si uache kutumia virushi vya internet.usipotumia internet utakufa??? Kila kitu kulalamika tuuu
Wewe akili zilipitiwa na Virobawewe akili zako ziliondoka na ule mkia uliokwatwa hivi majuzi.
Jamani, msikalie siasa tu kwani hata ving'amuzi vyote sasa hivi hupati local channels bila kulipia.
Haya mambo yangelikuwa yanawekwa wazi kabla ya kutekelezwa ili tujiandae. Refer VAT kwenye miamala!
Weng tunategemea internet kufanya shugul zetu ngoja niwatafute ttcl tu nichek kwanza home WiFi modem kama nako vimepanda nahamia ttclAcha mawazo ya hovyo wewe... usidhani kila anayetumia internet ni kwa ajili ya JF na Facebook; hapa tulipofikia internet ni bidhaa muhimu kwa watu wengi tu kama ilivyo kwa umeme! And FYI, watu wa Facebook wala hawawezi kulalamika kuhusu gharama za internet kv matumizi yao ni madogo sana mbali na kwamba mitandao mingine inatoa free MB kwa ajili ya Facebook! Binafsi, 100% ya kazi zangu zinatumia internet na watu kama mimi tupo wengi tu hapa mjini!
Wakuda wote hapa ndio sebuleni kwao, ila kwa kifupi airtime na internet bundle si tatizo kabisaaa.
Kwa kutumia code ipi? Kwa muda mrefu natumia airtel na kifurushi cha 1GB wameshusha to 400 MB tangia jana!Nimejiunga airtel Leo 1Gb kwa 1000.imepanda mchana huu au
Internet kwa sasa ni bidhaa muhimu sawa na sukari kwahiyo inakera sana wanapotokea wapuuzi wachache wanakuja na hoja "kwani lazima utumie internet!" Yaani hawa bado wanadhani internet ni kwa ajili ya kuingia social network! Na kwavile hali ipo hivi, hamna namna! Itabidi niichangie kampuni ya serikali! Na nitafanya hivyo kuonesha hasira zangu kwao!Weng tunategemea internet kufanya shugul zetu ngoja niwatafute ttcl tu nichek kwanza home WiFi modem kama nako vimepanda nahamia ttcl
Mwenye ufahamu wa vifurushi vya ttcl
Yaani leo vifurushi vimepanda bei maradufu shilingi 1000 unapata mb 350 hii ni kwenye tigo huko airtel na voda ni majanga serikali iliyochaguliwa na "maskini" iko wapi? Au huku ndio kuisoma namba kwenyewe?