Vifurushi vya internet vimepanda bei ghafla, serikali iko wapi?

Vifurushi vya internet vimepanda bei ghafla, serikali iko wapi?

Nakaribia kuifunga akaunti yangu ya JF hivi karibuni...gharama za mabundle zimenishinda.......
Siwezi kuacha kula na kununua kifurushi.....
 
Vumilieni tu! Mmevumilia toka CCM imeanza, hamjazoea tu kuvumilia!!?
 
Kweli mie leo nimeshangaa sana
Imeniuma sana
 
mbona maswala mengine serikali inatokea faster na kutoa mwongozo? mbona hili wamekaa kimya...Waziri anyehusika yuko wapi? au ndie aliyewatuma watupandishie bei????
 
Hayo ni malala miko ya kijinga kwani wewe hukujua kama vitu vitapanda bei hapa kazi tu
 
Mimi nimeshasahau hata bei ya vifurushi ni kama natumia internet bure tu.

Hii siri nitabaki nayo mwenyewe Wabongo hamna dogo yakifika vyuoni itakuwa shida tupu. Miye kimyaaa.
 
Ndio safi maana mmezidi kutumia Data kwa mambo yakipuuzi
Wengine hutumia kwa mambo ya maendeleo
Kila siku Fb kuitusi Serikali.
Nabado
Jamani, msikalie siasa tu kwani hata ving'amuzi vyote sasa hivi hupati local channels bila kulipia.
Haya mambo yangelikuwa yanawekwa wazi kabla ya kutekelezwa ili tujiandae. Refer VAT kwenye miamala!
 
Wach waisome namba eeeeeh , thi thi em mbele kwa mbele..
Hatunywi sumu hatujinyongiiii, ccm mbele kwa mbele...

Ndio namba ynyewe mnayosomeshwa hiyo...
Hata muambiwe 1000 kwa 100mb watakaa kimya tu
 
Nakaribia kuifunga akaunti yangu ya JF hivi karibuni...gharama za mabundle zimenishinda.......
Siwezi kuacha kula na kununua kifurushi.....
Ongea vizuri na watu mkuu, kuna mambo yanaendelea huwezi kuamini macho yako.

Hii nchi ione hivihivi ndio maana kulikuwa na watu ukiigusa ccm tu walikuwa wapo tayari wakuuwe.
 
Ongea vizuri na watu mkuu, kuna mambo yanaendelea huwezi kuamini macho yako.

Hii nchi ione hivihivi ndio maana kulikuwa na watu ukiigusa ccm tu walikuwa wapo tayari wakuuwe.

Mzee mwenzangu mbona kama umeniacha gizani........hebu mwaga mchele ndugu....!!!
 
serikali tu inawoga sanaa na ndio maana inajihami bila msingi,tcra ni kibaraka pia, macampuni ya mawasiliani yamekuwa yakienjoy super super profit kwa muda mrefu tu.
Super super profit=Super normal profit
 
We jamaa kaa kimya bana unawaita waje halotel hujui tukiwa wengi bei itapanda kama mitandao mingine? We piga kimyaaa
Bado mnaibiwa sana, tena sana tu. kwa bei hiyo hizo megabytes bado ni ndogo sana tena sana.
 
Back
Top Bottom