ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,556
Lakini kwanini internet hapa Tz inafanywa kua anasa na bidhaa adimu?nchi za wenzetu kila ukuchao inafanywa kua cheap nyaani wanakoeekea itakua bure kabisa..mfano mdogo malaysia
nimekumiss baby naomba hilo ua.nipo mkuu
we utakua shabiki wa cccm tu sio burewambea sana na mnafwatilia sana maisha ya watu yasiyowahusu ndo kana mnaona zimepanda...ila kama unataumia mb kwa nidhamu... msingelalamika...mbona beer na condom hamjapiga kelele bei zake