Haha [emoji23] haha [emoji23] haha [emoji23] haha [emoji23] haha [emoji23] mambo gani? Tena hayani hatua pia ya kuzuia usambaaji wa taarifa kwa mitandao ya kijamii
Ungelinganisha na vya zamani ingependeza.Daa kweli kiongozi ni balaa Aitel buku unapata 400Mb for 1day.1Gb for 5000 a week or 500Mb 3000.
basi wasiseme kuwa wamechaguliwa na maskini....kama mambo yenyewe ndio haya...serikali inapiga kimya kwenye mambo kama haya..Masikini hatumii vifurushi vya internet mkuu sasa hivi yupo na simu yake ya tochi anapiga na kutuma msg labda wakipandisha bei na hivyo vifurushi vya muda wa maongezi.Wewe unamiliki tablets unataka uitwe masikini jamani tuacheni masihara .
ukiona hivyo waongezewa kodikwa hiyo serikali inapaswa kuwalazimisha kushusha bei? Wanaofahamu hebu nijuzeni maana sijaelewa kwa hapo? Nilijua biashara ni ushindani. Inawezekana wameona demand imepanda ya hivyo vifurushi