Vifurushi vya internet vimepanda bei ghafla, serikali iko wapi?

Vifurushi vya internet vimepanda bei ghafla, serikali iko wapi?

Michael Jackson: "They don't care about us.."
 
Serikal watafurahia coz vijana mtaach kuichafua serikal mitandaon kutokan na upungufu wa MB wng mtakua hamjiung
 
Ahsanteni kwa kunihudumia miaka yote Celtel/Zain/Airtel lakini it is time to say goodbye.
 
Ahsanteni kwa kunihudumia miaka yote Celtel/Zain/Airtel lakini it is time to say goodbye.
For the first time, nimesema kwaheri Airtel baada ya kuitumia kwa miaka kadhaa kwa data but am done with them. Yaani walivyonikera afadhali nitumie gharama hizo hizo kwa ISP wengine kuliko airtel! Unapandisha vp gharama kwa zaidi ya 100% overnight? This's totally bullshit. Kilichonikera zaidi wamepandisha gharama wakati nimeshanunua mivocha kibao ambayo nitalazimika kuitumia kwa ajili ya kupiga bila kupenda.
 
Tafuta halotel lain ya chuo ndo utaenyoj vizur
Sie wengine hivyo vifurushi vya cuo wala havitusaidii kutokana na matumizi makubwa ya internet tunayotumia! Yaani nikiona watu wanavyousisha internet na mitandao ya kijamii natamani kuwatukania hadi wazazi wao manake inaonekana bado wapo miaka 10 nyuma... yaani wala hawafahamu maisha haya internet ndo kila kitu kwa shughuli nyingi sana za kiuchumi!
 
Airtel mwanzo ilikuwa GB 6 kwa tshs. 9,000 kwa wiki nzima lakin Leo hii imepanda na imekuwa tshs. 10,000 GB 2.5 kwa wiki nzima! Nahama
 
Airtel mwanzo ilikuwa GB 6 kwa tshs. 9,000 kwa wiki nzima lakin Leo hii imepanda na imekuwa tshs. 10,000 GB 2.5 kwa wiki nzima! Nahama

Unahamia wapi? Ni sawa na kutoka Kenya kwenda Somali kukwepa alishabab
 
Sie wengine hivyo vifurushi vya cuo wala havitusaidii kutokana na matumizi makubwa ya internet tunayotumia! Yaani nikiona watu wanavyousisha internet na mitandao ya kijamii natamani kuwatukania hadi wazazi wao manake inaonekana bado wapo miaka 10 nyuma... yaani wala hawafahamu maisha haya internet ndo kila kitu kwa shughuli nyingi sana za kiuchumi!
mkuu line ya chuo halotel unapata 10gb kwa tsh 9999
 
Tafuteni Halotel university line ndo habari ya mjini
 
Ndio maana wengine tumerejea kwenye njia zetu za vichaka.
 
Kama sio kuwekewa muda wa maongezi na ofisi hali ingekua tete.
 
Airtel mwanzo ilikuwa GB 6 kwa tshs. 9,000 kwa wiki nzima lakin Leo hii imepanda na imekuwa tshs. 10,000 GB 2.5 kwa wiki nzima! Nahama
Huna pa kukimbilia, mitandao yote inapandisha gharama za internet bundle.
 
Back
Top Bottom