mwa 4
JF-Expert Member
- Oct 8, 2013
- 3,390
- 754
Kwani maskini tunatumia net sisi,acha ipande maana wengine kazi yenu kutukana watu tu mtandaoni.Yaani leo vifurushi vimepanda bei maradufu shilingi 1000 unapata mb 350 hii ni kwenye tigo huko airtel na voda ni majanga serikali iliyochaguliwa na "maskini" iko wapi? Au huku ndio kuisoma namba kwenyewe?