Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Hapo niki exit na program inakua closed,
Naona wananiambia ni uninstall torrent niko nazo.
Screenshot_20220304-184826.jpg
 
Embu fanyeni kama mnaweka Tena Update ya huu mchongo na sisi wageni wa thread tupate namna ya kucatch up ..maana nimefuatilia lakini sijaona ilipoanzia naoana tu watu wanafurahi mtelezo.

Shusheni hap upya wakuu
Mimi mwenyewe sijaelewa inajidisonect tuu sijui unaanza kukonect vpn au sijui inajikonect yenyewe

wanaoteleza wanaona uvivu kutunyooshea Mambo
 
Back
Top Bottom