Nyuki Mdogo
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 4,138
- 10,539
mkuu naomba nitumie screenshot niioneMkuu yangu inakua inajiclose yenyewe sijui tatizo nini,
kwangu hata nikizima data ICON zake zipo kwenye notification bar. Hazitoki mpaka nifute app
mkuu naomba nitumie screenshot niioneMkuu yangu inakua inajiclose yenyewe sijui tatizo nini,
Futa hio bitorrent sijui u torrent... ukifanya hivyo bas mambo bambamHapo niki exit na program inakua closed,
Naona wananiambia ni uninstall torrent niko nazo. View attachment 2138802
amekupiga?Wewe mwizi umerudi tena
Tupeni link basi wakuuFuta hio bitorrent sijui u torrent... ukifanya hivyo bas mambo bambam
Yangu haina hizi mambo mbona.Hapo niki exit na program inakua closed,
Naona wananiambia ni uninstall torrent niko nazo. View attachment 2138802
Yangu inaleta mapicha pichaYangu haina hizi mambo mbona.
Unatumia vpn gani?Kweli mkuu mpaka uangalie tangazo asante sana. jana nimepata masaa 19 nimekesha na YouTube
Unatumia vpn gani?
Mimi mwenyewe sijaelewa inajidisonect tuu sijui unaanza kukonect vpn au sijui inajikonect yenyeweEmbu fanyeni kama mnaweka Tena Update ya huu mchongo na sisi wageni wa thread tupate namna ya kucatch up ..maana nimefuatilia lakini sijaona ilipoanzia naoana tu watu wanafurahi mtelezo.
Shusheni hap upya wakuu
Hamna vpn hiyo app yenyewe ni vpn inapiga kazi fresh tuUnatumia vpn gani?
Masaa mangapi hayo mkuu?
acha uongo mkuu.
Mi nna masaa manne kwa kuangalia tangazo moja tu
View attachment 2138102
Asante sanaNatazama live vita ya urusi na ukraine na FREE INTERNET.
Uwe na Tigo itapendeza zaidi
download hio app kisha igilizia hizo setting kisha connect.
haina cha hat file.
View attachment 2137413
Tumia mb zako kidogo kuangalia matangazo ili kuongeza muda uwe mwingi kama hivi chini.Mkuu, hii app ni lazima uwashe data kwanza ndo ufanye kazi.. na kama hvyokama Nina Mb zangu jilizonunua si zinatumika piA..?
hii VPN uko plastore mkuu?Tumia mb zako kidogo kuangalia matangazo ili kuongeza muda uwe mwingi kama hivi chini.
View attachment 2140512
kisha tumia line ambayo haina MB iwashie data kisha washa na hili dude. Mambo yanasonga chap
Mkuu nishakujibu pmhii VPN uko plastore mkuu?
Umefanya vipi mimi nimeweka setting zote ila vpn haiconnectAsante sana
Ni hadi uwashe data na line ya Tigo ndo inafanya freshMkuu, hii app ni lazima uwashe data kwanza ndo ufanye kazi.. na kama hvyokama Nina Mb zangu jilizonunua si zinatumika piA..?