mikumiyetu
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 1,309
- 942
Njoo pmNiunganishe nae na mm
Njoo pmNiunganishe nae na mm
Na Mimi Leo limenikuta muda huu hapa,inakata na kurudi inakata na kurudi nimeahirisha hata nilichotaka kudownload nikagundua kumbe tatizo ni kifurushi nilichojiunga asubuh ....Aisee hapa wametuwezaNiliwahi kupata Hilo tatizo nilipoungia kifurushi Cha usiku juu ya kifurushi chengine, mfano una Royal bundle ukiunga Cha usiku nacho kinakuwa slow na kudisconect kila dakika.
Sasa hivi naunga Cha usiku kwenye line yake separate, na vifurushi vya kawaida line nyengine.
Jamani nilikua sijui kuwa Vodacom kifurushi cha chui kimepigwa panga!!!!
Mnanishauri nihamie mtandao gani, wenye kazi na virufushi vya MB vizuri.
Ya kujirudia means kikiisha kifurushi ukiweka hela tu wanakata automatic na kukuunga chengine, Hata Kama hio hela uliiweka kwa ajili ya matumizi mengine.Chief-Mkwawa naomba msaada wa ufafanuzi wa hii royal bando ya kujirudiarudia mkuu
Hapo naelewa Ila Yale maelezo ya kuwa unatumia mpk mwezi ujao ndo sijaelewaYa kujirudia means kikiisha kifurushi ukiweka hela tu wanakata automatic na kukuunga chengine, Hata Kama hio hela uliiweka kwa ajili ya matumizi mengine.
Kwamba kifurushi Cha mwezi utumie zaidi ya mwezi au? Sijaelewa hapa.Hapo naelewa Ila Yale maelezo ya kuwa unatumia mpk mwezi ujao ndo sijaelewa
Hapo ndipo panapo nitatiza maana kwenye maelezo wameandika in a sense kana kwamba ni hivyoKwamba kifurushi Cha mwezi utumie zaidi ya mwezi au? Sijaelewa hapa.
Sina uhakika ila sidhani kama wanakupa net zaidi ya mwezi, wabongo watakopa kisha watatupa line.Hapo ndipo panapo nitatiza maana kwenye maelezo wameandika in a sense kana kwamba ni hivyo
TIGO ni mtandao wa kipumbavu sanaNi majanga mkuu, Kama umekosa humo sidhani Kama Wana vifurushi vyengine vizuri vya internet,
Kama una simu ya laini 2 eka Halotel ama TTCL wao Sasa hivi ndio Wana unafuu wa vifurushi.
HakikaSina uhakika ila sidhani kama wanakupa net zaidi ya mwezi, wabongo watakopa kisha watatupa line.
Mkuu kama tigo ni wakipumbaf, huku voda usije kabisa. Tshs.2,500 MB 500 ??TIGO ni mtandao wa kipumbavu sana
Sio kidogo na ndugu zao voda
Ooh huku tigo gb 2 ef naneMkuu kama tigo ni wakipumbaf, huku voda usije kabisa. Tshs.2,500 MB 500 ??
Voda na tigo ni majangaMkuu kama tigo ni wakipumbaf, huku voda usije kabisa. Tshs.2,500 MB 500 ??
Iyo 2500 nmetoka kuunga GB 3 kwa siku 7..TTCLMkuu kama tigo ni wakipumbaf, huku voda usije kabisa. Tshs.2,500 MB 500 ??
Ttcl wapo vzr mno nawakubali Vifurushi vyao vinawezekanika cyo vya gharama " Rudi nyumbani kumenoga"TTCL wamekuja na ofa ya sabasaba ambapo kwa Tshs. 500 unapata MB 777 kwa siku 7
Kuipata
*148*30#
Then chagua 7 ofa maalum
Then chagua namba 3
Unga Cha 500 kwa mb 777 naona ndio kizuri kwa muono wangu. Inakuwa 5000 kwa GB 7.77 lakini zinakuwa hazina limit ya mchana na usiku.Jana nilidaka line yangu ya TTCL jamaa wako vizuri... hapa naenjoy na GB8 kwa tsh 5000 tu wiki nzima
Wiki, menu Yake ni kifurushi maalumu, pia TTCL inaruhusu kuunga ussd code.Hizo ni za wiki nzima au masaa 24?
Wiki, menu Yake ni kifurushi maalumu, pia TTCL inaruhusu kuunga ussd code.
Mfano unabonyeza *148*30# Then unachagua option no 10 kuangalia salio then namba 5 salio la bandika bandua,
Kwa ttcl unaweza bonyeza *148*30*10*5#
So hicho kifurushi Cha 500 mb 777 kariri namba zake then tengeneza ussd moja unaunga kirahisi zaidi.