kamili
JF-Expert Member
- Feb 10, 2011
- 1,213
- 849
Tatizo hili husababishwa na nini na tiba yake ni ipi plz ushaur wenu ni muhimu ninarafik yangu anasumbuliwa sana na tatizo hili
Wakati mwingine ni vizuri ukamshawishi aulize yeye mwenyewe kuliko ukamuulizia. kama vile ambavyo huwezi kupimwa badala yake au huwezi tumia dawa badala yake, au huwezi pona badala yake.