Vidonda vidogo mdomoni (Aphthous Mouth Ulcers)

........Pole sana kwa hili tatizo ndugu.
Kama vidonda karibu na lips au mdomoni kwa kitaalam vinaitwa cold sores au fever blisters ni matokeo ya herpes simplex type 1 virus. Inawezekana immune system yako ipo weak, kwa matibabu mazuri inabidi ukamuone daktari.

Kuna type 2 herpes virus (HSV2) hii sasa ni sexual transmitted diseases, lakini sidhani kama unayo hii.

Vile vile unaweza kufanya natural remedies kama unayo hiyo cold sores,chukua ice weka hapo kwenye vidonda kwa muda wa dakika kadhaa rudia rudia mara kadhaa kwa siku.

Kula matunda na mboga za majani kwa wingi maana zina vitamins na madini kama iron na zinc ambazo zinaweza kujenga immune yako system kuwa nzuri.
 
Probably it is Herpes simplex virus usually we harbour them and they erupt when we have other infections like malaria, see your doctor for more advice
 
Wakati mwingine husemekana ni ukosefu wa kula matunda...lakini kama unapata matunda ya kutosha basi ni kitu kingine na kama hali inazidi kuwa mbaya kamuone Dr. haraka, kila la heri.
 
How do I cure a sore mouth? I dont know what is the medical word for this but hii week nime experience vidonda karibu na my lips.. not inside. what causes this? is it kinda of infection? how do I cure this?


Thanks
Ongeza bidii ya kupiga mswaki, kisha sukutua kwa maji ya chumvi mara kwa mara, au tumia Medi-oral mouthwash ni kama 2000/- medical store yoyote utaipata.

very quickly unaweza kuwa na mawazo sana, au ulikuwa na homa, kiasi kwamba immunity yako ikasheck kiasi na mwili unajibu mapigo kupambana na hali hiyo. Ikishuka immunity yako kidogo kitu cha kwanza kukutaarifu wewe ni mdomoni na vidonda. Lakini kama unasema lips huenda ikawa traumatic cause - labda umemmmmmvuuu! mtu au kakummmvuuuu! kwa nguvu, unapofanya hivyo usitumie jazba sana kuepusha hayo.

medically the cause could be either local instigation or systemic health sign. Mara kwa mara tunashauri kutokuwa na haraka kuvamia antibiotics kwa sababu inaishia yenyewe ukiondoa chanzo. Just observe, tumia local treatment kwa maana ya mouthwash. Usipopiga mswaki muda mrefu pia tegemea vidonda mdomoni, ingawa pia ukioverdo lupiga mswaki unajitengenezea vidonda.

Ukitaka specifics ni vema umuone daktari wa kinywa na meno aliye karibu nawe, sema naye. Sio tatizo kubwa, inapaswa kuisha within a week. kama pamoja na jitihada hizo bado vimekung'ang'ania, kashitaki kwa dentist atavirudi.
 
Saitama-kein,
Dawa ya kumsaidia huyu mgonjwa inaitwa BONJELA hii inapatikana katika maduka ya dawa makubwa, pia ni bei mbaya(relatively) na ukiweka ktk kidonda inauma sana dk 2 za mwanzo.
Katika maduka ya kawaida utapata dawa ya tube inaitwa ORREPASTE .Zote dawa hizi ni mswano sana na hii ya pili wal haiumi kwa kuwa ina methyl & Propyl parabens.Ukipaka kwa siku 1-2 hupona kabisa.
Hii inatibu kwa haraka sana hata vidonda vya ndani na nje ya kinywa.
 
........Pole sana kwa hili tatizo ndugu.
Kama vidonda karibu na lips au mdomoni kwa kitaalam vinaitwa cold sores au fever blisters ni matokeo ya herpes simplex type 1 virus. Inawezekana immune system yako ipo weak, kwa matibabu mazuri inabidi ukamuone daktari.

Kuna type 2 herpes virus (HSV2) hii sasa ni sexual transmitted diseases, lakini sidhani kama unayo hii.

Vile vile unaweza kufanya natural remedies kama unayo hiyo cold sores,chukua ice weka hapo kwenye vidonda kwa muda wa dakika kadhaa rudia rudia mara kadhaa kwa siku.

Kula matunda na mboga za majani kwa wingi maana zina vitamins na madini kama iron na zinc ambazo zinaweza kujenga immune yako system kuwa nzuri.
point taken and thanks for your input... yes could be right my immune system could be weak... I will have to go for medical check up... my condition is not worse now but the sore still there
 
Ongeza bidii ya kupiga mswaki, kisha sukutua kwa maji ya chumvi mara kwa mara, au tumia Medi-oral mouthwash ni kama 2000/- medical store yoyote utaipata.

very quickly unaweza kuwa na mawazo sana, au ulikuwa na homa, kiasi kwamba immunity yako ikasheck kiasi na mwili unajibu mapigo kupambana na hali hiyo. Ikishuka immunity yako kidogo kitu cha kwanza kukutaarifu wewe ni mdomoni na vidonda. Lakini kama unasema lips huenda ikawa traumatic cause - labda umemmmmmvuuu! mtu au kakummmvuuuu! kwa nguvu, unapofanya hivyo usitumie jazba sana kuepusha hayo.

medically the cause could be either local instigation or systemic health sign. Mara kwa mara tunashauri kutokuwa na haraka kuvamia antibiotics kwa sababu inaishia yenyewe ukiondoa chanzo. Just observe, tumia local treatment kwa maana ya mouthwash. Usipopiga mswaki muda mrefu pia tegemea vidonda mdomoni, ingawa pia ukioverdo lupiga mswaki unajitengenezea vidonda.

Ukitaka specifics ni vema umuone daktari wa kinywa na meno aliye karibu nawe, sema naye. Sio tatizo kubwa, inapaswa kuisha within a week. kama pamoja na jitihada hizo bado vimekung'ang'ania, kashitaki kwa dentist atavirudi.
mmh i dont think you understood my condition... the sore isnt not inside my mouth... not on my lips either but its around the mouth... but thanks anyway appreciate your concerns.

what u mean umemmmmmvuuu mtu or kakummmvuuuu... :D its sounds funny though...
 
How do I cure a sore mouth? I dont know what is the medical word for this but hii week nime experience vidonda karibu na my lips.. not inside. what causes this? is it kinda of infection? how do I cure this?


Thanks

go and have full blood scan plus HIV, then you start from there my friend.
 
Wana JF Heshima Mbele

Nina rafiki angu kaniomba ushauri na nimeona nilete kwa Dr.JF
Rakifi angu amekuwa akipata vidonda mdomoni inatokana moja anajing'ata na ingine labda amekula kitu kikamkwaruza basi vitachukua muda kupona kama wiki tatu au mbili sasa anauliza tatizo nini na yeye yupo nchi ya joto kali sana na pia anaukosefu wa matunda mpaka aje Tanzania ndio anakula matunda, Huko vitu vyote artificial matunda, chakula juice.n.k

anaomba ushauri ameshaenda hospital wakasema una upungufu wa vitamic ila wakimpa multvitamin tu akinywa kidonge kimoja kwishne amepona.

msaada wakuu
 
vidonda vya mdomoni vinaambukizwa sana.anapotumia dawa ahakikishe familia nzima inatumia dawa.vinginevyo itakua ndoto.
 
suluhisho ndo ilo la dawa sasa km uko alipo ndo matunda ni artificial
ila matunda ndio kila kitu kwakwel,nilikua na tatizo ilo na daktari alinishauri tu matunda
sijawai pata vidonda adi leo
afu hii ya kumeza-meza midawa ya kizungu ndo matatizo hayatuishi mwisho mwaenda loli
 
alipaswa ale matunda kama hapati yakiwa halisi labda suppliments zinaweza kumsaidia,,mpe pole
 
Dah matunda na Mboga za majani ni muhimu kwa afya.
 
Huyo ana ugonjwa unaitwa Scurvy...ambao ni upungufu wa vitamic C mwilini. Ugonjwa huu ufanya fizi na ngozi ya ndani ya mdomo kuwa dhaifu na hivyo kuumia kirahisi na kutoa damu. Na kwa kuwa kinywa ni kichafu (kwa kawaida kina bacteria wengi) basi ndio sababu vidonda vinachelewa kupona. Vitamin C pia husaidia vidonda kupona haraka. Vitamin C huwa inapatikana kwa matunda yenye chachu kama machungwa, maembe, limao/ndimu, nanasi, passion, etc..kama yuko nchi ambayo hawana matunda basi anaweza tumia juice za matunda hayo, natumai zitakuwa zinapatikana kwa wingi tu kwenye hiyo nchi (nchi nyingi zisizo na matunda huwa wanaimport juices).

Ushauri: Aendelee na dawa za vitamin C, lakini kwa ziada...ajitahidi kupata juices zenye vitamin C, ndio njia pekee anaweza kupona na kuepukana na hiyo adha. Ukosefu wa vitamin C una madhara mengine makubwa zaidi kama kupoteza meno, vidonda visivyopona na hata depression (msongo wa mawazo), hivyo ajitahidi kupata hizo juice zenye vitamin C.
 
Tatizo hili husababishwa na nini na tiba yake ni ipi plz ushaur wenu ni muhimu ninarafik yangu anasumbuliwa sana na tatizo hili
 
Tatizo hili husababishwa na nini na tiba yake ni ipi plz ushaur wenu ni muhimu ninarafik yangu anasumbuliwa sana na tatizo hili[/QUOT

Pole zake mkuu. Ila jaribu kujua pia mfumo wake ukoje ktk suala la 'sexual practice', maana magonjwa mengine, mhhhhhhhhhhhhhh!
 
Yaweza kuwa una oral thrush au scurvy which is less likely. Lakini pia yaweza kuwa una vidonda vya homa. Kwa vyote hivyo kwanza yakubidi kutumia vit c. Halafu kama ni oral thrush, tumia nystatine oral drops. Kama ni scurvy hiyo vit c yatosha. Na kama ni harpes(vidonda vya homa) nenda hospitali ukapime status yako.

Usiogope ukweli. Kwani ukweli wako ndiyo utakao kuokowa.
 
Dr asante kwa ushauri wako mzuri na wa kina be blessed! Sasa hzo dawa ntazpataje! Also nlshaenda kuchek status yangu niko pouwa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom