Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 9,069
- 12,653
Mkuu una maujuzii ya kazi bila shaka utakuwa mstaafu ww.
Ofcourse mimi sijui mkuu!Umeandika vizuri lkn ukiambiwa upractise hujui. Pengine hata bastola kuikamata hujui
Mbona ni kama kuna mahali niliwahi iona na haikuwa ni ujambazi benki??CCTV Crime News
View attachment 2951527
Mwisho wa Video ya pili utamuona namna alivyoingia benki kama mlemavu vile.
View attachment 2951544
................
Hii ilikuwa San Mateo, huko Maranhao, Brazil na huyu ndiye mhusika lakini alikufa.
Jina ni: Nilton César Silva Aguiar.
View attachment 2951517
....
Hapa aliingia Benki kama mlemavu
View attachment 2951556
.....
Hili hapa pigo la kwanza, askari alipigwa risasi ya kifua, bahati nzuri askari alikua amevalia bulletproof ya kuzuia risasi, hivyo haikumpiga
View attachment 2951561
....
Pigo la pili, askari alirudisha mapigo na kumpiga jambazi sehemu ya kifua.
View attachment 2951574
................
Baada ya jambazi kupigwa ya kifua akainama kisha akapigwa nyingine ya shingo
View attachment 2951596
........
Jambazi kipindi anapiga alikua akimsogelea askari, ndipo askari akainama chini ya meza ili afanye counter kumzungukia kwa nyuma, lakini jambazi lilisogea hadi usawa wa meza na likampiga askari risasi ya uti wa mgongo ili kumpa-paralysis. Ambapo hata hivyo haikumpata ila ilimchubua mkono wa kushoto.
View attachment 2951627
Jambazi alifia mlangoni kwa kuvuja damu shingoni. Baada ya jambazi kudondoka utawaona wahudumu wa benk wakikimbilia ndani na mlinzi akirudi ulingoni. Kwa hivyo Hakufa wala kujeruhika mtu, ispokua mlinzi ilimchuna mkono wa kushoto.
....
Jambazi alifanikiwa kukwepa hatua za usalama za benki kwa kutumia sahani ya chuma kwenye mguu wake kama mlemavu wa mguu wa kushoto ili kuweza kuingia ndani na bunduki bila kulazimika kupitia mlango mkuu wa ukaguzi.
Huenda umeifananisha na ile ya Uganda nadhani, jamaa aliingia nadhani ni ofisini akaanza kugawa za kichwa.Mbona ni kama kuna mahali niliwahi iona na haikuwa ni ujambazi benki??
Hapana. Ni mojawapo labda kwenye timbwili la hawa wavaa kobazi na IDF.Huenda umeifananisha na ile ya Uganda nadhani, jamaa aliingia nadhani ni ofisini akaanza kugawa za kichwa.
Chuki itakuua nduguTangu anaingia mlangoni mpaka anakata roho anasema tu ALLAH AKBAR..ALLAH AKBAR
Duhhh tabu zote hizo kisa katunda kamoja tu pale Eden? Au kuna kosa jingine Adam na Eva walifanya?Tunaomini kwenye MUNGU tunajua process ya kutolewa roho imeambatana na maumivu makali sana, na ndo hupelekea hata mtu kutokwa na haja kubwa.
Pia kwanini wayahudi huitwa mayahudi ya watu fulani?Kama movie vile.Hivi kwanini inapotumika neno jambazi inatamkwa "li" au "hayo"
Mfano; Jambazi hilo sugu alikamatwa....
Au
Majambazi hayo yalitokomea....
Kwanini sio jambazi huyo au hao? 😀
Uhalifu haulipi.CCTV Crime News
View attachment 2951527
Mwisho wa Video ya pili utamuona namna alivyoingia benki kama mlemavu vile.
View attachment 2951544
................
Hii ilikuwa San Mateo, huko Maranhao, Brazil na huyu ndiye mhusika lakini alikufa.
Jina ni: Nilton César Silva Aguiar.
View attachment 2951517
....
Hapa aliingia Benki kama mlemavu
View attachment 2951556
.....
Hili hapa pigo la kwanza, askari alipigwa risasi ya kifua, bahati nzuri askari alikua amevalia bulletproof ya kuzuia risasi, hivyo haikumpiga
View attachment 2951561
....
Pigo la pili, askari alirudisha mapigo na kumpiga jambazi sehemu ya kifua.
View attachment 2951574
................
Baada ya jambazi kupigwa ya kifua akainama kisha akapigwa nyingine ya shingo
View attachment 2951596
........
Jambazi kipindi anapiga alikua akimsogelea askari, ndipo askari akainama chini ya meza ili afanye counter kumzungukia kwa nyuma, lakini jambazi lilisogea hadi usawa wa meza na likampiga askari risasi ya uti wa mgongo ili kumpa-paralysis. Ambapo hata hivyo haikumpata ila ilimchubua mkono wa kushoto.
View attachment 2951627
Jambazi alifia mlangoni kwa kuvuja damu shingoni. Baada ya jambazi kudondoka utawaona wahudumu wa benk wakikimbilia ndani na mlinzi akirudi ulingoni. Kwa hivyo Hakufa wala kujeruhika mtu, ispokua mlinzi ilimchuna mkono wa kushoto.
....
Jambazi alifanikiwa kukwepa hatua za usalama za benki kwa kutumia sahani ya chuma kwenye mguu wake kama mlemavu wa mguu wa kushoto ili kuweza kuingia ndani na bunduki bila kulazimika kupitia mlango mkuu wa ukaguzi.
Ni jambo la kusikitisha sana mtu anapokufa akiwa katika harakati za kufanya dhambi, na hajapata hata nafasi ya kutubu ili afe katika Bwana. Ufunuo 14:13 inasema: Nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, Andika, Heri wafu wafao katika Bwana tangu sasa. Naam, asema Roho, wapate kupumzika baada ya taabu zao; kwa kuwa matendo yao yafuatana nao.Sema askari alikuwa na bastola, angekuwa na mjegejo ilikuwa ni kumimina tu.
Hio risasi shingoni ilipasua artery, jamaa damu inaruka kama bomba.