Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
- Thread starter
- #61
Kwa kuwapa vitambaa vya kujifunga kichwani, khanga, T-shirt na kipande cha sabuni!Kwa kweli wapinzani sasa mnatia kichefuchefu na mnatupa kila sababu ya kua mbali na nyinyi.
Hivi tangia lini mwizi akajipeleka kuiba huku akijionyesha wazi wazi???
Hivi nani atakye thubutu awakusanye watu bila ridha yao bila kuogopa kuonekana na kuwapeleka kwenye mikutano yao??
Basi kama ni hivyo itakua vyama vyote mna fanya hivyo hivyo. Hiwi ukamuambia mtu ni mchawi bila wewe mwenyewe kua mchawi.
Jaribuni kutafuta mbinu nzuri ya kupambana, tunahitaji upinzani lakini uwe upinzani wenye maana
Ccm mnawadhalilisha sana watu wenu