Azizi J Hamad
JF-Expert Member
- Sep 20, 2020
- 442
- 230
Siku chama cha Mbowe mkiacha kutumia Faru John kupita kiasi, naamini angalau mnaweza mkawa na kaushindani kidoogooo kwa mbaaaliiiBring back our 1.5trillion
Siku chama cha Mbowe mkiacha kutumia Faru John kupita kiasi, naamini angalau mnaweza mkawa na kaushindani kidoogooo kwa mbaaaliiiBring back our 1.5trillion
Hakika wanaCCM wameendelea kujionesha kuwa wao ni bora liende. Haiwezekani mwanadamu unampakia kwenye usafiri wa kuhatarisha maisha yake kiasi hiki.
Hawa watu hamnazo kama mwalimu wao alivyoHakika wanaCCM wameendelea kujionesha kuwa wao ni bora liende. Haiwezekani mwanadamu unampakia kwenye usafiri wa kuhatarisha maisha yake kiasi hiki.
Mimi nipo 'field' na bado nipo mtandaoni , kuwa 'field' hakunizuii nisishike simu yangu na ku- login kwenye social and political platforms.Wewe jamaa nimetambua ni kiazi sana na hauna impact yoyote kwa chadema. Watu wako field wenye uko bize mitandaoni...useless kabisa
Thibitisha, au Uwezo wako kujenga hoja ndo umeishia hapo?Chama Cha Mafisadi
Hawa watu hamnazo kama mwalimu wao alivyo
Misukule inapelekwa sokoniHakika wanaCCM wameendelea kujionesha kuwa wao ni bora liende. Haiwezekani mwanadamu unampakia kwenye usafiri wa kuhatarisha maisha yake kiasi hiki.
Usipokuwa na akili unaweza kufanywa chochote na matapeli wa kisiasa. CCM inawataka hasa wasio na akili maana wanaweza kuwachezea kama inavyotaka.Wamebebwa kama matenga ya nyanya yanapelekwa sokoni