ngome1838
JF-Expert Member
- Feb 20, 2019
- 2,029
- 2,471
Vyama vya upinzani ni wapuuzi, mnatuonyesha ujinga kwani nanyi mmekatazwa kuwabeba wa kwenu, shida ya vyama vya upinzani ni njaa na ubinafsi uliopitiliza. Siku mkibadilika akili zenu tutawachagua. Badala ya kueleza sera na mikakati ya kutuletea maendeleo mnatumia muda wote wa kampeni kulalamika na kubeza yaliyofanywa na CCM. BAdo sijaona chama cha upinzani chenye ukomavu wa kukamata dola nahisi hata ikitokea mmepata dola mtagombana wenyewe kwa wenyewe mpaka miaka mitano iishe. Acheni wenye, utazani mmesomewa albadili.