VIDEO: Wakenya wadai Olduvai Gorge ipo Kenya!

This is a serious issue. Ni lazima Balozi wa kenya Tanzania awe summoned atueleze lini olduvai imekuwa huko kenya. Now I can appreciate what Uhuru Kenyatta said recently about his own people.
Ni juu ya anayeambiwa kupambanua kama anambiwa ukweli au anadanganywa. Katika biashara tunasema kila mara mnunuaji awe mwangalifu anapokuwa na muuzaji 'caveat emptor'. Ndiyo maana kuna bidhaa feki nyingi tu, siyo wakenya peke yao ni tatizo la dunia nzima. Ni jukumu la watalii kujinasua mikononi mwa wauza counterfeit product. Kenya ni counterfeit product ya Olduvai gorge Tanzania ni original product, go for original one. Hakuna sababu ya kuwachukia Wakenya ni tabia wafanyabiashara wote duniani, muhimu ni kujua namna ya kuwakabili. Inawezekana pia kuwa wana malengo ya muda mfupi, watalii watakapojua Olduvai iko Tanzania Wakenya watakuwa wameshafanya biashara kwa malengo ya muda mfupi
 
[QUOTE="MKWEPA KODI, post: 15428937, member: 341ambayea nduli idd amin alianza hivyohivyo, wakati huo mahiga alikuwa balozi wetu Uganda, sasa mahiga ni waziri wa mambo ya nje hebu tusubiri
Nawe acha kusema uongo kama huyo binti wa kenya ambaye hata jiografia ya nchi yake haijui. Dkt mahiga hajawahi kuwa Balozi uganda[/QUOTE]
Hivi alikuwa east African community?
 
Na sisi tujaribu kutangaza Mombasa ipo Tanzania tuone kama watakaa kimya
 

1456638769510.jpg
 
Haya majiru ni ya ajabu sana na matapeli nishawahi kukutana na Mholland mmoja China akasema ana mpango wa kwenda Kenya kupanda Mt. Kilimanjaro.

Majizi na mafisadi wa utalii wetu ni makenya hayaaa
 
Samahani. Unafahamu hii speech huyu dada aliitolea wapi. I mean hapo ilikuwa wapi? Nimejaribu kulitafuta hilo jina la tabitha Gilbert aliyepost kwenye Facebook lkn nimekutana watu wengi kweli wenye jina hilo nikashindwa kujua who is who. Lengo langu ilikuwa ni kumpata huyu dada nimuhoji kwa nini anadanganya hadharani kiasi hiki bila uoga wala aibu. Pia nilitaka kujua hapo alipotoa hiyo hotuba palikua ni wapi na waandaaji kina nani ili niwaandikie email kuwataarifu kwamba huyo dada aliongea uongo kwa makusudi. Lakini nimeshindwa kuwapata.


Em jaribuni kumuelewa aliposema " up until then, i've had been taught"

Hiyo sentesi kwa nilivyomuelewa, ni kwamba wamekua wakiaminishwa hivyo, "until then" ndo sasa wamejua si kweli.
 
Wengi wao wamejazana bongo kutafta ajira naomba magu awatimue wote wakenya walio ajira tz wameziba nafas tu
 
Najua walishasema kuwa Zanzibar iko Ke. Bado kidogo watasema Selous mbuga iko kwao!!! This is not a business strategy!!!! Nilishawaambia kuwa hawa watu hawana jema zaidi ya kujinufaisha wao wenyewe tu!!!!
 
Back
Top Bottom