Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 3,611
- 8,739
Yani inauma sana hawa wakenya wanajua kutembelea code za Tanzania kwenye fursa zilizopo hapa. Kumbuka Kenya asilimia kubwa imejaa kikabila kuongea na ndio maana lugha yao kubwa ni Kingereza ila suala la kujitangaza kiswahili kipo kwao wameshinda hili.
Nimeshangaa fursa hii tumeshindwa kupeleka nchi zatu huku wakipata wakenya
Nimeshangaa fursa hii tumeshindwa kupeleka nchi zatu huku wakipata wakenya