Video: Rais Ruto avunja kamati ya Utekaji

Video: Rais Ruto avunja kamati ya Utekaji

What I know is that the President shifts the blame to the Police Chief. But utekaji utakuwa pale pale.
Ruto yeye amenawa mikono na meshiriiana na vyombo vingine pamoja ma mamlaka zingine kuthibitisha hatkuwa na msukumo wala mkono juu ya Jeshi.

Hii ni kusem kuwa polisi watakuwa huru.
We unadhani polisi ni wajinga kwatekeleze jambo ambalo liko kinyume na sheria bil mkono w mtu aliyejuu sana? Hata Polisi general hawezi hiyo kitu
 
Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani siafanye hivyo na yeye jamani ,kila siku watu wanatekwa na Rais yupo kimya sana
 
Ni huzuni tupu 😄
Unapoongoza watu wapumbavu kama watanganyika usipotajirika ni ujinga wako, wapo busy na mambo ya kipumbavu huwezi kukuta mjadala wa namna ya kubuni miradi, masoko wala maendeleo ya nchi yao, wao ni Simba na Yanga pekee, pia mtumishi wa umma asipoiba wanamuona kama hana akili timamu wanataka aibe atajirike awanunulie pombe na kuwapa misaada kwenye harusi na misiba
 
Unapoongoza watu wapumbavu kama watanganyika usipotajirika ni ujinga wako, wapo busy na mambo ya kipumbavu huwezi kukuta mjadala wa namna ya kubuni miradi, masoko wala maendeleo ya nchi yao, wao ni Simba na Yanga pekee, pia mtumishi wa umma asipoiba wanamuona kama hana akili timamu wanataka aibe atajirike awanunulie pombe na kuwapa misaada kwenye harusi na misiba
Well spoken Mkuu šŸ‘
 
Unapoongoza watu wapumbavu kama watanganyika usipotajirika ni ujinga wako, wapo busy na mambo ya kipumbavu huwezi kukuta mjadala wa namna ya kubuni miradi, masoko wala maendeleo ya nchi yao, wao ni Simba na Yanga pekee, pia mtumishi wa umma asipoiba wanamuona kama hana akili timamu wanataka aibe atajirike awanunulie pombe na kuwapa misaada kwenye harusi na misiba
Watanzania sisi wenyewe ndio tatizo, uvivu unapelekea kuona ni sawa kupewa rushwa na viongozi kwa kodi zetu ambazo zilitakiwa zifanye maendeleo…!!

Tungekuwa na msimamo tuwakazie uone km wataleta ujinga, ila ndio hivyo UNAFKI umetujaa sisi kwa sisiā€¦šŸ˜„
 
Watanzania sisi wenyewe ndio tatizo, uvivu unapelekea kuona ni sawa kupewa rushwa na viongozi kwa kodi zetu ambazo zilitakiwa zifanye maendeleo…!!

Tungekuwa na msimamo tuwakazie uone km wataleta ujinga, ila ndio hivyo UNAFKI umetujaa sisi kwa sisiā€¦šŸ˜„
Mimi nalia na hawa watu wanaitwa wasomi ndiyo wanaongoza kwa ujinga kuliko wasiosoma, kila mmoja anawaza kusifia apate uteuzi aibe mali za umma. Pumbavu kabisa
 
soka-e1724250077267-1024x968.jpg
 
Back
Top Bottom