Video: Polisi Uganda ampiga risasi Mhindi dukani

MK254

JF-Expert Member
May 11, 2013
31,751
48,401
Tena alirudi mara ya pili kuhakikisha anamuua kabisa....

 
Hiyo video nimeiona jana tweeter nimejiuliza maswali mengi sana.

Hiyo footage ingekuwa na sauti ingeweza kunipunguzia baadhi ya maswali.

Maswali ambayo nimejiuliza.

1. Ni kwamba huyo mwela hakuwa na lengo la kumdhuru huyo muhindi ila alikuja kupata temper baada ya kujibiwa eidha vibaya na muhindi.

2. Mwela alikuwa ni mtu aliyetumwa au ana watu wakubwa serikalini ambao ni eidha ndugu zake au marafiki zake ambao anajua watamkimgia kifua, kitendo cha kikatili kama kile kinaweza kisiwe na madhara kwake kwasababu ya backup aliyonayo serikalini.
 
Hiyo video nimeiona jana tweeter nimejiuliza maswali mengi sana.

Hiyo footage ingekuwa na sauti ingeweza kunipunguzia baadhi ya maswali.

Maswali ambayo nimejiuliza.

1. Ni kwamba huyo mwela hakuwa na lengo la kumdhuru huyo muhindi ila alikuja kupata temper baada ya kujibiwa eidha vibaya na muhindi.

2. Mwela alikuwa ni mtu aliyetumwa au ana watu wakubwa serikalini ambao ni eidha ndugu zake au marafiki zake ambao anajua watamkimgia kifua, kitendo cha kikatili kama kile kinaweza kisiwe na madhara kwake kwasababu ya backup aliyonayo serikalini.
Huyo ni mikopo umiza mwamba huyo muhindi kampa riba mlima deni haliishi..

Jamaa kaona isiwe tabu ngoja amalize kabisa tatizo halisi.
 
Ukipewa silaha umeaminiwa
Haijalishi utaambiwa upumbavu gani haifai kutumia silaha pasipo na ulazima
Kama alimaindi angempiga hata na kitacho cha bunduki
askari hajai nyembe
Umpige na kitako hlf aje atume watu wake wakuue , hv wabongo mnatatizo gan mnapojadili mambo , ni km upande mmoja wa kufikiri mnauzima , simlaumu huyo afande maana si kichaa , swala la kuua ni kielelezo ana kero ambayo imamshika hapa na hana namna
 
Hili kosa watanzania wengi tunalifanya, hasa uwe imesoma kidogo au una ka nyadhifa serikalini au unakutana na kiongozi au kijana mdogo hela zimekutembelea, unakuta wanapandishiana na walinzi, askari au mtu yoyote mwenye silaha kwa kiburi Cha fedha, elimu cheo au kujuana.

NEVER ARGUE WITH ARMED PERSON
 
Back
Top Bottom