Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 49,022
- 54,306
Hapo Hamza Akiwa Uwanja Wa DamuNashauri tuendelee kuwaua kadri iwezekanavyo.
View attachment 1911195
Hivi Sanamu Lake Linajengwa Wapi?😂
Hapo Hamza Akiwa Uwanja Wa DamuNashauri tuendelee kuwaua kadri iwezekanavyo.
View attachment 1911195
Yule Mfu ndio alituharibia nchi shenzi kabisa yuleHali ni mbaya sana......Hakika kifo cha JPM kimeacha vacuum kubwa sana....
Things have fallen apart
Nani aunde kitengo?HII KITU MBAYA SANA,NAONA HAO WATU WASHACHOKA NA WANAONEKANA WAKO TAYARI KWA LOLOTE
SERIKALI INGEUNDA KITENGO MAALUM KINACHOJITEGEMEA KUPOKEA MALALAMIKO
DHULUMA,YANAYOFANYIKA NA POLICE
MALALAMIKO YOTE YAPELEKWE HUKO
ova
soka kitabu cha Luka, 3:14. Polisi ni noma sanaAskari badilikeni.
Mnaendekeza sana njaa za kipumbavu.
Lakini hiyo video ni ya mda mrefu na ni ya huko Kenya Ila ukweli ni kwamba majeshi yetu yaboreshwe na Kama mtu anaona hawezi bila hongo aachie ngazi
Unajua ukishakuwa police,au kitengo cha policeNani aunde kitengo?
serikali ipi? kwa rais yupi? kwa PM yupi? kwa Spika yupi? kwa CJ yupi? Tuko kwenye moto wa Luciferi! Mwanamke ni mwanamke tu (mnismehe najua nitawagusa mama zangu, dad zangu, mnisamehe. Sector nyingine fanyeni kazi, siyo ofisi Kuu!)
View attachment 1911224View attachment 1911228[View attachment 1911235ATTACH=full]1911229[/ATTACH]View attachment 1911231
Rais yupo ofisini anachapa kazi baada ya siku mbili...Rais amekufa
Kabla ya JPM hali ilikuwaje?Hali ni mbaya sana. Hakika kifo cha JPM kimeacha vacuum kubwa sana.
Things have fallen apart
Ona hii ng'ombe. Hii video imetoka hata kabla ya covid na huyo aliyeacha ombwe alimuwepo.Hali ni mbaya sana. Hakika kifo cha JPM kimeacha vacuum kubwa sana.
Things have fallen apart
😂😂hawachelewi
Hakuna acha ujinga hiyo hali haikuwepoHuyo uliyemtaja ndio aliharibu kabisa maana ndio aliwaongezea kiburi na uonevu ndio ulizidi sana.
tunakoenda na nani? sema unakoenda wewe pekeyako usitujumuishe kama wote tuko safari mojaHawa wanaofanya hivi kwa Raia?
Inaumiza sana.
Watanzania wameshachoka sana na haya mambo.
Mimi nawaambia tunakoenda ni kubaya sana.
View attachment 1911170
Cheki hii mbusi ilivyo na akili ndogoOna hii ng'ombe. Hii video imetoka hata kabla ya covid na huyo aliyeacha ombwe alimuwepo.
Cheki chura nyingine hii hukuYule Mfu ndio alituharibia nchi shenzi kabisa yule
Zamani rushwa japo pia sio kitu kizuri ilikuwa ya maelewano kutokana na uwezo wako, sasa wanataka rushwa lazima na kwa kutishia watu maisha,
Na Hamza kawaonyesha watanzania ukweli unaoendelea na ni Shujaa kuliko kenge yule mwendazake.
Ni kweli mkuu hiyo ipo hata kwa nchi kama Italy au Mexico kwenye wajuba mafia na cartel wakweli, na hao wa kitengo wanakuwa na mshahara wa juu kuliko wa kawaida..Unajua ukishakuwa police,au kitengo cha police
Kna mgawanyiko...kuna good cops and bad cops
Kwa sababu police wanashulika na kuzuia uhalifu na wahalifu,wapo pia police wanao shirikiana na wahalifu
Hii kitu iko kokote duniani kwa upande wa police
Ova
Kenge wewe utakuwa polisi njaa kali weweCheki chura nyingine hii huku
Acha ujuha, haya yote kayaleta huyo shetani mtu muuaji!Hali ni mbaya sana. Hakika kifo cha JPM kimeacha vacuum kubwa sana.
Things have fallen apart
Brazil pia ipo,maana utakuta wako polisi wanashirikiana na wahalifu hadi kupeana taarifaNi kweli mkuu hiyo ipo hata kwa nchi kama Italy au Mexico kwenye wajuba mafia na cartel wakweli, na hao wa kitengo wanakuwa na mshahara wa juu kuliko wa kawaida..
Lakini kwetu huku njaa kali, hawawezi kujitoa kuwa wasafi wakati mshahara haufiki wiki ya pili..........
Kitengo kitageuka cha upigaji....kama Nigeria kulikuwa na kitengo kinaitwa SARS kwa hili lengo lakini kilikuwa kinatesa na kupiga hela ndefu na wanaigeria wakafanya fujo mpaka kilifutwa na afisa mmoja alikuwa anatafutwa na FBI ya USA kwa kupiga hela na fraud gangs.
Kazi kubwa ya polisi ni kulinda majambazi(mafisadi) walio na nyadhifa kwenye ofisi za ummaHawa wanaofanya hivi kwa Raia?
Inaumiza sana.
Watanzania wameshachoka sana na haya mambo.
Mimi nawaambia tunakoenda ni kubaya sana.
View attachment 1911170