Azim Sokoine
JF-Expert Member
- Aug 20, 2014
- 1,379
- 2,533
Mtanzania mwenye akili timamu hawezi kwenda kupiga kura kwa tume ambayo 100% ni wateule wa rais ambaye pia ni mgombea,MWENDAWAZIMU pekee ndiye anayeweza kwenda kupiga kura
mtanzania mwenye akili timamu hawezi kwenda kupiga kura kwa tume ambayo 100% ni wateule wa rais ambaye pia ni mgombea,MWENDAWAZIMU pekee ndiye anayeweza kwenda kupiga kura
Duh! Kumbe huyu mkurugenzi wa NEC ni mjinga kiasi hiki!!! Hata mtu mwenye dhamira mbaya lakini mwenye akili, hawezi kunema hivi.
Huyu ni mjinga mwenye dhamira mbaya.
Sent using Jamii Forums mobile app
lisu hatoboi kwa magu hata mkurugenzi wa tume akiwa edwin mteiHii video ndio tumplekee Amsterdam akaanze kuandaa kesi ICC. Huku sisi watanzania tukipeleka zuio mahakamani kumzuia huyu kada wa ccm kuwepo kwenye hiki kiti.
Hakuna kumuachia Mungu ni kupambana naye tuManeno yake yametuumiza sana, tunamwachia Mungu
Ni rahisi kuwaambia wapinzani wapiganie tume huru, ila ni ngumu kiutekelezaji.Miaka yote nimewaambia wapinzani, piganieni tume huru. Bila tume huru ni kutwanga maji kwenye kinu tu. Yaani hata baada ya kituko cha Jecha, bado wapinzani waliridhika tu! Wakatulia kimya mpaka leo 2020!
hii ni mpya tangu dunia kuwepo , na ni ushaidi mzuri , mungu sio wa mchezo mchezo, haya hayatokei kwa bahati mbaya lipo kusudi lakeWapwa
Sina mengi, Hi ndo tume yetu ya uchaguzi, hata upinzani ukishinda kwa asilimia 100%, ni ngumu kutangazwa
Ruge aliwahi kusema
"Ogopa Mungu na Teknolojia"
Toa maoni
View attachment 1564550
Kumwita mjinga unampa sifa asiyostahili. Mjinga hujifunza lakini huyu hata umfundishe vipi ni kazi bure kwa sababu yeye anaamini anajua (si naye ni Dr.?) kumbe hajui. Anayeamini anajua kumbe hajui si mjinga, yuko kwenye ngazi ya peke yake...heri hata mjinga. Katika awamu hii hiyo ni sifa tosha.Duh! Kumbe huyu mkurugenzi wa NEC ni mjinga kiasi hiki!!! Hata mtu mwenye dhamira mbaya lakini mwenye akili, hawezi kunema hivi.
Huyu ni mjinga mwenye dhamira mbaya.
Kabisa mkuu naunga mkono hojaHii video ndio tumplekee Amsterdam akaanze kuandaa kesi ICC. Huku sisi watanzania tukipeleka zuio mahakamani kumzuia huyu kada wa ccm kuwepo kwenye hiki kiti.
Mimi sijui natumia Jf gani nisiyoweza kuona baadhi ya attachmentWapwa
Sina mengi, Hi ndo tume yetu ya uchaguzi, hata upinzani ukishinda kwa asilimia 100%, ni ngumu kutangazwa
Ruge aliwahi kusema
"Ogopa Mungu na Teknolojia"
Toa maoni
View attachment 1564550
Unakalia chanda we kunguru wa kijani manina we alicho kiongeapo waona kuna tume huru hapo acha umaku nyie ngojeni siku yenu ifikeHahahahaha..... slavery mentality kama mgombea urais wa saccos ya Chadema!!
Hii apaMimi sijui natumia Jf gani nisiyoweza kuona baadhi ya attachment