parts
JF-Expert Member
- Mar 31, 2018
- 2,711
- 1,747
👊👊Na sisi tujitahidi kuunga doti, jiulize haya maswali.
1. Kateuliwa na nani?
2. Je, unaweza mteua mtu ambaye hawezi fwata matakwa yako?
3. Je, kwanini Asad alitimuliwa?
👊👊Na sisi tujitahidi kuunga doti, jiulize haya maswali.
1. Kateuliwa na nani?
2. Je, unaweza mteua mtu ambaye hawezi fwata matakwa yako?
3. Je, kwanini Asad alitimuliwa?
Baada ya tarehe 28 October, huyu bwana atakuwa Mtanzania wa kwanza kupokea summons kwenda "The Hague" . Robert Amsterdam tayari anayo hii video tayari.Wapwa,
Sina mengi, hii ndo tume yetu ya uchaguzi, hata upinzani ukishinda kwa asilimia 100%, ni ngumu kutangazwa.
Ruge aliwahi kusema: "Ogopa Mungu na Teknolojia"
Toa maoni
"There is always a fear when moving from the known to unknown"Mkuu Kipangaspecial ,hili jambo uliloliandika la Watanzania kuongoza kwa kuogopa mabadiliko ni kweli kabisa. Nina utafiti wangu nikiumaliza,nitaweka uzi JF kuhusu "woga wa mabadiliko".
Sent using Jamii Forums mobile app
baada ya kupewa cheo neutral. yuko hivi https://www.jamiiforums.com/data/attachment-files/2020/09/2532473_IMG_0999.mp4Duh..
Ila si kipindi hicho kabla hajapewa Cheo neutral
Pumbavu😬😬😬Wapwa,
Sina mengi, hii ndo tume yetu ya uchaguzi, hata upinzani ukishinda kwa asilimia 100%, ni ngumu kutangazwa.
Ruge aliwahi kusema: "Ogopa Mungu na Teknolojia"
Toa maoni
Jamaa anaonekana kabisa amemezeshwa. Anadhani bado ni mkurugenzi wa halmashauri.baada ya kupewa cheo neutral. yuko hivi https://www.jamiiforums.com/data/attachment-files/2020/09/2532473_IMG_0999.mp4