FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,064
- 40,725
- Thread starter
- #21
Hajasema kwamba chanjo si hiari, hiyo sio hoja yake. Jibu hoja zakeKwa mawazo yangu ninaweza ndiyo, na hoja zake zote jibu ni kwamba chanjo bado ni hiari, hivyo bado kila mtu ana muda wa kuamua juu ya chanjo, ikifika muda chanjo ni lazima tutaangalia faida na madhara, kama zina madhara na ni lazima kuchoma tutachoma na kama zina madhara ila sio lazima hatutachoma.