Kumekuwa na mapambano dhidi ya ubaguzi wa rangi, na moja kati ya maneno yanayoashiria ubaguzi ni mtu mweusi kuitwa Nyani.
Kijana huyu ameonekana kwenye fukwe akiigiza na kufanya matendo ya mnyama Nyani hali iliyopelekea baadhi ya wazungu kucheka.
ANGALIA VIDEO HAPA
Unahisi kijana huyu amekosea kuigiza Nyani mbele ya umati wa Wazungu?
Written by Mjanja M1 ✍️
Kijana huyu ameonekana kwenye fukwe akiigiza na kufanya matendo ya mnyama Nyani hali iliyopelekea baadhi ya wazungu kucheka.
ANGALIA VIDEO HAPA
Unahisi kijana huyu amekosea kuigiza Nyani mbele ya umati wa Wazungu?
Written by Mjanja M1 ✍️