ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,080
- 84,965
My Take
Hakuna kumung'unya maneno Inawezekana kabisa kwamba magenge ya wahalifu wa Kimataifa wamepata Uchochoro wa Kusajili Meli zao hapa Bongo Kwa rushwa Ili zikatumike kwenye Uhuni.
Mwaka 2018 hayati Magufuli aliliona hili na kuzuia usajili wa hizi meli lakini naona ule mchezo umejirudia.
Serikali Chukueni hatua,kutamka tuu kwamba meli iliyokamatwa imefutiwa usajili haitoshi ,uchunguzi zaidi Kwa mamlaka zinazosimamia ufanyike.
Hakuna kumung'unya maneno Inawezekana kabisa kwamba magenge ya wahalifu wa Kimataifa wamepata Uchochoro wa Kusajili Meli zao hapa Bongo Kwa rushwa Ili zikatumike kwenye Uhuni.
Mwaka 2018 hayati Magufuli aliliona hili na kuzuia usajili wa hizi meli lakini naona ule mchezo umejirudia.
Serikali Chukueni hatua,kutamka tuu kwamba meli iliyokamatwa imefutiwa usajili haitoshi ,uchunguzi zaidi Kwa mamlaka zinazosimamia ufanyike.