Video: Je, Hayati Magufuli Alistukia Mchezo na Uchochoro wa Kusajili Meli Tanzania Ambazo Zinakamatwa na Matukio Tata?

Video: Je, Hayati Magufuli Alistukia Mchezo na Uchochoro wa Kusajili Meli Tanzania Ambazo Zinakamatwa na Matukio Tata?

Halafu tunaambiwa tuna vyombo vya ulinzi na usalama havilali? Hii nchi tunalindwa na mwenyezi na sio hao so called vyombo vya ulinzi.
 
Kuhusu tenda ya nguo za jeshi hayati JPM alifanya sanaa akatupumbaza sisi huku mtaani.

JPM alikuwa na mchina wake mwenye kampuni ya kutengeneza hizo nguo, akaenda pale magereza na kujifanya kuwakaripia wale viongozi kumbe lengo lake biashara ampe mchina wake.

Kizigha akaonekana fisadi mbele ya macho ya umma yeye JPM akaonekana shujaa.
Wewe Lofa usifikiri unaongea na malofa wenzako...kwa taarifa yako humu jukwaani watu wana taarifa...
Kaa mbali na mzilankende wewe bibie....
 
My Take
Hakuna kumung'unya maneno Inawezekana kabisa kwamba magenge ya wahalifu wa Kimataifa wamepata Uchochoro wa Kusajili Meli zao hapa Bongo Kwa rushwa Ili zikatumike kwenye Uhuni.

Mwaka 2018 hayati Magufuli aliliona hili na kuzuia usajili wa hizi meli lakini naona ule mchezo umejirudia.

Serikali Chukueni hatua,kutamka tuu kwamba meli iliyokamatwa imefutiwa usajili haitoshi ,uchunguzi zaidi Kwa mamlaka zinazosimamia ufanyike.
View attachment 3549383
Sio serikali kuchukua hatua, serikali ifanye mambo yote aliosimamia na kuyaamini JPM, kwa sasa Tanzania tungekuwa mbali. Ila sijui kwa nini ramani iliyochorwa na JPM inatupwa pembeni kwa hasira kabisa
 
Back
Top Bottom