kimange
JF-Expert Member
- Sep 14, 2016
- 1,339
- 1,300
But its not easy madame..Hamna kitu hapo, kafanyiwa marudio ya kufa mtu, amekaririshwa tu.
But its not easy madame..Hamna kitu hapo, kafanyiwa marudio ya kufa mtu, amekaririshwa tu.
Umeandika point muhimu sanaHuyu dogo ana karama ya Mungu la sivyo kuna mapepo au majini yanamtumia, siyo yeye anayeongea hayo..! Kuna mtoto wa brother alikuwa hiyvyo anajua hadi mambo ya kuchakata gesi akiwa darasa la tatu, alikuwa na akili hakuna mfano badae sababu ya kwenda kwenda Church majini yalitibuka ndiyo tukajua haa kumbe siyo yeye. Ameombewa sana currently ana akili ila za kawaida ata zile mambo hazijui tena.
[emoji87]Huyu dogo ana karama ya Mungu la sivyo kuna mapepo au majini yanamtumia, siyo yeye anayeongea hayo..! Kuna mtoto wa brother alikuwa hiyvyo anajua hadi mambo ya kuchakata gesi akiwa darasa la tatu, alikuwa na akili hakuna mfano badae sababu ya kwenda kwenda Church majini yalitibuka ndiyo tukajua haa kumbe siyo yeye. Ameombewa sana currently ana akili ila za kawaida ata zile mambo hazijui tena.
Bado nakumaind kinoma[emoji24] [emoji24] [emoji24]hahaha basi utazaa zaidi ya huyo ila mwepesi kusahauuuuuuuu
hakika huyu mtoto ana kipaji maalumu
Wakwake hata ukimuliza jina la babake hajui ataki kukuambia baba.mkaririshe na wako
nakusubiri uanze kuni maharage😳😳😳😳😳Bado nakumaind kinoma[emoji24] [emoji24] [emoji24]
ni rahisi kuliko unavyofikiriAcha zako wewe.... Huyo dogo kwa umri wake huwezi mkaririsha chochote zaidi ya jina lake na vinyimbo virahisi rahisi... Na kwa jinsi anavyojibu unaona kabisa kuwa dogo ana ubongo sumaku... I.e hakuna kinachompita... Iwe taarifa ya habari mpaka maongezi ya watu wa kawaida... !
Naweza kusema kuwa dogo ana photographic memory.. !
Kwa mawazo kama haya mtaendelea kuwasujudu wazungu hadi kufa kwenu!! Mnaamini sana ushirikinaHuyu dogo ana karama ya Mungu la sivyo kuna mapepo au majini yanamtumia, siyo yeye anayeongea hayo..! Kuna mtoto wa brother alikuwa hiyvyo anajua hadi mambo ya kuchakata gesi akiwa darasa la tatu, alikuwa na akili hakuna mfano badae sababu ya kwenda kwenda Church majini yalitibuka ndiyo tukajua haa kumbe siyo yeye. Ameombewa sana currently ana akili ila za kawaida ata zile mambo hazijui tena.
Hamna kitu hapo, kafanyiwa marudio ya kufa mtu, amekaririshwa tu.
Kwanini unamtukana mtoto?
Amekukosea nini?
Shame on you.
Dogo kakuzidi hadi akili!! so sadHuyu Dogo ni mbumbumbu