Nelly Mtengwa
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 371
- 417
Question+"Sema mwakyembe"=clip
Ni pm mkuu nikupatie mbegu zitakazoleta pacha zenye akili zaidi ya hao.. !Yani nimetamani huyo mtoto angekuwa wangu[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji16] [emoji24][emoji15]
Ungeshamuona kwenye ''Ellen Degeneres SHOW''...Duh....ingekuwa ni USA au Russia, wazazi 'wananyang'anywa' mtoto na na mtoto kupelekwa kwenye sehemu maalum...
We ni mtu mjinga!Hajawafikia waliokuwa Wanadeki barabara Mtuhumiwa wa Ufisadi apite na gari yake!
We ni mtu mjinga!
Muone[emoji23] [emoji23]wewe subiri pompolilo tu hahaha
Huyo ni mapepo/majini ndiyo yanaongea nyie mnadhani ana akili.Hivi humu unajua kuna mijitu inamuonea wivu Dogo anavyotiririka!...MTU hadi anafikia kusema eti Dogo ana kichwa kama tikiti maji la kisasa?!! Si laana hii[emoji24] [emoji24] [emoji24]
Wamemkaririsha huyo
Teh teh teh, ndio nimejionea leo,utakuwa huingii mara kwa mara humu, mbona iko shazi tu!
hahaha basi utazaa zaidi ya huyo ila mwepesi kusahauuuuuuuuMuone[emoji23] [emoji23]
He usinichekeshe hebu na wewe kariri basi uje ututajjie aliyoyataja huyo mtoto! Ukitaka kujua huyu mtoto ni genius ni pale alipoulizwa waziri wa mifugo, ingekuwa ni issue tu ya kukariri ( by the way hata kukariri ni ishara ya kuwa intelligent, acha lugha hizi za mitaani kufikiri kukariri ni ujinga) any way back to my point. Ingekuwa kakaririshwa tu ( as you said) asingeweza pata Waziri wa Mifugo hebu we mtaje. Kwani ile ilitajwa tu Waziri wa Mifugo hata mtu mzima angebabaika so huyu mtoto ni super intelligent!Wamemkaririsha huyo
Ni kweli sidhani kama ni kweli ana miezi sita ila hajatimiza miaka hata mitano!Kwenye Umri wamekosea, sio mtoto wa Miezi sita huyo