Video: Huyo mtoto ni hakunaga

Video: Huyo mtoto ni hakunaga

Daaaah Mungu azidi muongoza. Hapo ni kumuandalia mazngra mazur zaidi.
 
Kwanini unamtukana mtoto?
Amekukosea nini?

Shame on you.
Amepanic maswali aliyokuwa akijib Dogo Haiytham asingeweza kuyajibu wacha povu limmwagike na bichwa Lake Kama rungu la pembe wa ze comedy
 
Tanzania kuna kila aina ya maajabu huyo dogo ni hatari weka mbali na watoto aiseee.
 
Atheee

Nauwakika hapo kuna baadhi ya maswal ningeulizwa Ningepigwa chin

Kaaaaahh Hongera zake[emoji86] [emoji86] [emoji86]
 
Huyu dogo ana karama ya Mungu la sivyo kuna mapepo au majini yanamtumia, siyo yeye anayeongea hayo..! Kuna mtoto wa brother alikuwa hiyvyo anajua hadi mambo ya kuchakata gesi akiwa darasa la tatu, alikuwa na akili hakuna mfano badae sababu ya kwenda kwenda Church majini yalitibuka ndiyo tukajua haa kumbe siyo yeye. Ameombewa sana currently ana akili ila za kawaida ata zile mambo hazijui tena.
 
Nini maana ya kipaji? Labda anakipaji cha kuwa na libichwa kama tikiti maji la kisasa!
Mungu ana hekma zake za kuumba na Mungu hakosei.Aliempa Kichwa kikubwa ni Mungu na Mungu ameumba binaadam kwa maumbile tofauti ili tumtambue Mungu Uwezo wakena uwepo wake.Kukashifu Uumbaji wa Mungu ni Laana.
Hata Kiongozi wetu Nabii Muhammad.S.A.W,hakuwa na kichwa kidogo na baadhi ya Mitume walikuwa na Vichwa vikubwa.Sifa za JF na Mungu hatafutiwi Kiki
" Laa`natullah"
 
Back
Top Bottom