ibuo
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 464
- 439
Wangu anajua mpaka nyeti zakoMkaririshe na wako halafu muweke hapa tuone!
Wangu anajua mpaka nyeti zakoMkaririshe na wako halafu muweke hapa tuone!
Unadhani kumkaririsha mtoto wa umri huo na akakariri vyote hivyo ni mchezo? Angalia hata kuongea vizuri hawezi, so hata nae pamoja na kukaririshwa na akakumbuka vyote basi yuko vizuri.Hamna kitu hapo, kafanyiwa marudio ya kufa mtu, amekaririshwa tu.
Majibu ya kukuatisha tamaa hayomkaririshe na wako
Umeona eeh, hata mtoto wangu anamzidi huyo vitu nilivyomkaririsha akianza kutema lazima ushangaeWamemkaririsha huyo
Wewe je unaweza kujibu usichokua exposed?Huyo dogo ameweza kukalili vizuri sasa na ubongo wake sio mbaya ingawa uwezi kumuuliza ambacho ajawa expossed to akakupa jibu sahii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nini maana ya kipaji? Labda anakipaji cha kuwa na libichwa kama tikiti maji la kisasa!
Sasa akupe jibu kitu ambacho hajawa exposed kwani kawa na pepo la utambuzi!!Huyo dogo ameweza kukalili vizuri sasa na ubongo wake sio mbaya ingawa uwezi kumuuliza ambacho ajawa expossed to akakupa jibu sahii
Wangu anajua mpaka nyeti zako
[emoji3] [emoji3] [emoji3] kuna watu wanawivu sanamkaririshe na wako
Ha ha haha hahaDuh! Kama ni kweli bsi ningekuwa wewe ningefanya DNA test kwa maana hiyo Akili ni lazima ya kurithi na haionekani kama anaweza kuwa amerithi ktk kwako!