mkaririshe na wakoWamemkaririsha huyo
Ana akili kuliko vijana wa buku saba lumumba fc
Acha zako wewe.... Huyo dogo kwa umri wake huwezi mkaririsha chochote zaidi ya jina lake na vinyimbo virahisi rahisi... Na kwa jinsi anavyojibu unaona kabisa kuwa dogo ana ubongo sumaku... I.e hakuna kinachompita... Iwe taarifa ya habari mpaka maongezi ya watu wa kawaida... !Wamemkaririsha huyo
Usinijaribu..! [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]Wangemuuliza Saddam Hussein alikuwa rais wa wapi dogo angeweza kumtoa nishai Magufuli.
Kajaribiwa Yesu Kristo aliyeitwa Masiha, itakuwa Magumashi?Usinijaribu..! [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]