hakika huyu mtoto ana kipaji maalumu
Duh....ingekuwa ni USA au Russia, wazazi 'wananyang'anywa' mtoto na na mtoto kupelekwa kwenye sehemu maalum...
hakika huyu mtoto ana kipaji maalumu
Mjaribie wa kwako hafu ulete mrejeshoHamna kitu hapo, kafanyiwa marudio ya kufa mtu, amekaririshwa tu.
Acha zako wewe.... Huyo dogo kwa umri wake huwezi mkaririsha chochote zaidi ya jina lake na vinyimbo virahisi rahisi... Na kwa jinsi anavyojibu unaona kabisa kuwa dogo ana ubongo sumaku... I.e hakuna kinachompita... Iwe taarifa ya habari mpaka maongezi ya watu wa kawaida... !
Naweza kusema kuwa dogo ana photographic memory.. !
Mmemuharibu mtoto wenu na mambo yenu ya dini.. ! Dogo alitakiwa kipaji chake akiachie nyie mkamdiscourage mpaka akakosa confidence in himself.. ! Hapo mmetengeneza religion fanatic badala ya Einstein ajaye.. ! Shame on you !Huyu dogo ana karama ya Mungu la sivyo kuna mapepo au majini yanamtumia, siyo yeye anayeongea hayo..! Kuna mtoto wa brother alikuwa hiyvyo anajua hadi mambo ya kuchakata gesi akiwa darasa la tatu, alikuwa na akili hakuna mfano badae sababu ya kwenda kwenda Church majini yalitibuka ndiyo tukajua haa kumbe siyo yeye. Ameombewa sana currently ana akili ila za kawaida ata zile mambo hazijui tena.
Mtoto huyo.. Mi nikiangalia pics za zamani nilikuwa nnanyolewa pank la design hiyo... ! Na hapo nilikuwa nnamiaka miwili mpaka nafika darasa la kwanza nilikuwa nanyolewa hivyo... Baada ya kupata akili na kusimama school Assembly ikaonekana ni kosa kunyoa pank so nikaacha..Huyo mkubwa wala cyo mtoto!!
Mtoto atanyoaje pank??
mzungu akiona mtoto wake yupo hivyo anasema ana kipaji, mwafrika akiona mtoto ana uwezo kama huo anasema mtoto ana majini. sijui tumeumbaje duhMmemuharibu mtoto wenu na mambo yenu ya dini.. ! Dogo alitakiwa kipaji chake akiachie nyie mkamdiscourage mpaka akakosa confidence in himself.. ! Hapo mmetengeneza religion fanatic badala ya Einstein ajaye.. ! Shame on you !
Acha upuuzi wenu nyie, alikuwa anaamka usiku anataka aondoke na ananguvu vibaya mno akitaka kuondoka mama yake hawezi kumgusa ilibidi kumwekea mijidume kumdhibiti..!Mmemuharibu mtoto wenu na mambo yenu ya dini.. ! Dogo alitakiwa kipaji chake akiachie nyie mkamdiscourage mpaka akakosa confidence in himself.. ! Hapo mmetengeneza religion fanatic badala ya Einstein ajaye.. ! Shame on you !
sasa hamuoni mmemrudisha nyuma dogo?Huyu dogo ana karama ya Mungu la sivyo kuna mapepo au majini yanamtumia, siyo yeye anayeongea hayo..! Kuna mtoto wa brother alikuwa hiyvyo anajua hadi mambo ya kuchakata gesi akiwa darasa la tatu, alikuwa na akili hakuna mfano badae sababu ya kwenda kwenda Church majini yalitibuka ndiyo tukajua haa kumbe siyo yeye. Ameombewa sana currently ana akili ila za kawaida ata zile mambo hazijui tena.
don't hate,appreciate...Hamna kitu hapo, kafanyiwa marudio ya kufa mtu, amekaririshwa tu.
Sasa kwanini hukumalizia habari yote.. ?! Unaleta habari nusu nusu.... ?!Acha upuuzi wenu nyie, alikuwa anaamka usiku anataka aondoke na ananguvu vibaya mno akitaka kuondoka mama yake hawezi kumgusa ilibidi kumwekea mijidume kumdhibiti..!
Siyo kuwa hana akili still ni kipanga ila alikuwa anafanya mambo makubwa, mno ata maprof. Hawayawezi.
wewe subiri pompolilo tu hahahaYani nimetamani huyo mtoto angekuwa wangu[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji16] [emoji24][emoji15]