Video: Hasira za Rais Magufuli kwa "watu wazembe"

Msichokijua sawa na usiku wa giza kiusalama hao watu lazima kwanza wakaguliwe na vyombo vya usalama, pili wajue matatizo yao na tatu wanam brief rais kuwa kuna hili na hili na hili so rais anakuwa tayari ameshajua kabla ya kupanda jukwaani. Sasa kwa akili yako mtu aende jukwaani bla kukaguliwa vp akiwa na silaha au mabomu.. Saa nyingine basi muwe mnajiongeza kidogo. Yawezekana hao watu walisema watapanda na labda wameogopa au wameondoka.
na wewe utakua mpumbavu tu ina maana muda wote huo hao watu hawakua wamekaguliwa kuwa rais atawapokea? wana ccm tukubali hapa kwamba picha limeungua kwenye kadamnasi. Gambo achukuliwe hatua stahiki.aibu gani hii
 
Kwa ufukunyuku wa namna hii lazima umpigie shetani aje azime hii mitandao mbona malaika watakataa wajionee maajabu ya binadamu.
CCM wanachojisahau ni kwamba kuna Mungu ambaye ameahidi kutomficha mnafiki, na kwa akili zao ndogonhizi kuna siku watamtia Rais aibu ya karne na watakapojaribu kuizima watakuwa wamechelewa sana na hii itakuwa historia ya aibu kwa Rais na sio tena historia ya viwanda.
Rais ana muda wa kuachana na hawa vijana bado hajachelewa sana, ila kama ataendekeza haya mambo ya kuamini propaganda za hawa vijana wake ajiandae kwa aibu zaid. Kama anaomba aombewe basi aamini kuna wanaomuombea aepushwe na uongo, ubaguzi na kiburi, sasa maombi yatajibu kwa kufichua mbinu ovu zote kudhoofisha upinzani kwa njia za kinafiki eti maendeleo hayana chama.
Madhara ya ALBADIR ni makubwa, tuchukue hatua...
 
TAIFA NI LETU SOTE MNAMUOMBEA RAIS WETU ASHINDWE ITAWASAIDIA NINI, IVI HAMJUI AKISHINDWA YEYE TUMESHINDWA WOTE ACHENI GILIBA TUMPONGEZE APATE ARI YA KUJENGA NCHI YETU TUACHE MAMBO YA KITOTO
Kama taifa ni la kwetu sote kwanini tunanunua watu wa chadema mpaka tunaaibika kiasi hiki? tuache unafiki.
 
Ahsante sana uliyeweka hii video, kuna vitu havichekwi ila kwenye hili imenibidi nicheke kila nikikumbuka, hebu muangalie Gambo usoni alivyotahayari mpaka unamuonea huruma. Hebu wajifunze kuacha unafiki.
 
Watu waliokuwa katika hadhara hiyo walikuwa wanamlalamikia Magufuli, kinyume na maudhui ya hotuba.

Magufuli anawakaripia wasaidizai wake hapo kwa kuwa hawajaweka watu wa usalama kudhibiti watu wanaomuingilia katika hotuba.

Huu ni udikteta, rais anatakiwa kusikiliza wananchi wake, sio kuagiza watu wa usalama wawanyamazishe.
kwahiyo alipokuwa anamuliza RC wako wapi watu wako alikuwa anaaanisha wanausalama?
 
Msichokijua sawa na usiku wa giza kiusalama hao watu lazima kwanza wakaguliwe na vyombo vya usalama, pili wajue matatizo yao na tatu wanam brief rais kuwa kuna hili na hili na hili so rais anakuwa tayari ameshajua kabla ya kupanda jukwaani. Sasa kwa akili yako mtu aende jukwaani bla kukaguliwa vp akiwa na silaha au mabomu.. Saa nyingine basi muwe mnajiongeza kidogo. Yawezekana hao watu walisema watapanda na labda wameogopa au wameondoka.
Hao watu wakina nani?
 
Huu ndio uhuru wa maoni mnaotaka hadi kufikia kumwita mtangulizi wake dhaifu, ndio maana naona mshughulikiwe tu maana hakuna jinsi

"Upumbavu" ni sifa tu kama ilivyo kwa "ulofa" na hata Benjamini Mkapa huyatumia maneno ya sifa hizi waziwazi....

Kwa hiyo jamaa yako, likely ni mpumbavu na lofa kindakindaki kama siyo wa mali, basi wa hekima na busara...!!
 
Msichokijua sawa na usiku wa giza kiusalama hao watu lazima kwanza wakaguliwe na vyombo vya usalama, pili wajue matatizo yao na tatu wanam brief rais kuwa kuna hili na hili na hili so rais anakuwa tayari ameshajua kabla ya kupanda jukwaani. Sasa kwa akili yako mtu aende jukwaani bla kukaguliwa vp akiwa na silaha au mabomu.. Saa nyingine basi muwe mnajiongeza kidogo. Yawezekana hao watu walisema watapanda na labda wameogopa au wameondoka.
Hoja 'dhanifu' mara nyingi huwa ni za kipuuzi kama huu upuuzi uliouandika hapa!!!
 
Mimi nimeshuhudia utenandaji wa awamu zote Tano za Urais wa Inchi hii.
Haya malezi tunayopata sasa toka kwa Rais wa awamo ya Tano ni mazuri sana na yanamanufaa kwa watoto wetu wa sasa na vizazi vijavyo.
Mzazi alinayelea watoto wake kwa kuwapa starehe nyingi huwaangamiza bali mzazi anayewalea watoto wake kwa kuwafundisha kufanya kazi, kujituma, kufikiri kusoma nk huwapo mwanga na maisha bora ya baadaye.
Binadamu wengi, na hasa Waafrika, hatupendi kufanya kazi mpaka tushurutishwe au kusimamiwa na kuchapwa mijeledi ndiyo tufanye kazi. Tunaiona kazi kama mateso na tunakiri kabisa kuwa kama tungekuwa na pesa tungekuwa tunakula shushi tu.
Wenzetu weupe kwao kazi ni starehe. Wanasema, "Idle labour is tha factory of devil" ( Nguvu kazi isiyotumika ni karakana la shetani). Waswahili hatuelewi hili.
Sasa hivi ukienda kila mji, barabara zinajengwa kwa kiwango cha lami ya hali ya juu sana, elimu inatiliwa mkazo, viwanda nk.
Ukishangaa ya Makufuli hujawahi kuona ya Nyerere.
Hivi wewe ni Njolo au Njululu, maana hujui hata mada hii inahusu nini. Kaanzishe uzi wako uiite "Hapa u Shamba tu" tutakuelewa.
 
kwahiyo alipokuwa anamuliza RC wako wapi watu wako alikuwa anaaanisha wanausalama?
Ndiyo, usalama wa ile sehemu kudhibiti watu waliokuwa wanamuingilia katika hotuba ulikuwa dhaifu, alikuwa hataki kusikiliza malalamiko ya wananchi wanaomuingilia katika hotuba yake, alitaka wanausalama wawashughulikie wale watu waliokuwa wanalalamika.

Marais wa Afrika inabidi wamuangalie Obama jinsi alivyodeal na watu waliomuingilia katika hotuba, kuna wakati watu wanamuingilia Rais Obama katika hotuba, watu wa usalama wanatakakuwaondoa wale watu, lakini Obama mwenyewe (msomiwa sheria za katiba huyo) anawakataza wanausalama wasiwaondoe walewatu waliomuingilia katikahotuba, akisema kwamba wanatimiza haki yao ya kikatiba!

Magufuli hawezi hayo, ni dikteta.

Na Magufuli akiendelea kwa utawalawa kidikteta hivi, maisha ya watu yakikosa matumaini, atasikiamalalamiko mengi sana na hata haowanausalama anaowategemea kuwanyamazisha watu watashindwa kuwanyamazisha watu.

Akisoma historia ya kuondolewa madarakani Causescu wa Romania ataona kwamba critical moment ilikuwakatika hotuba, bibi mmoja tu mwenye uthubutu alipoanza kupiga kelele "muongoooo" akimwambia Causescu kwamba ni muongo,wengine wote wakapata ujasiri wa kumuunga mkono yulebibi na mwisho Causescu akaona nchi imembadilikia, akataka kutoroka, akashikwa na askari wake mwenyewe, akapigwa risasi.

Kwa zaidi soma wiki hii hapa

Ceaușescu's final speech - Wikipedia

Sisemi wala siombei hayo yatokee kwa Magufuli.

Nasema kwamba, kamawatu wanalalamika kwa sababu ya matatizo, dawa ni kutatua matatizo yao,dawa si kuwatumiawanausalama wawaondoe.

Ukitumia wanausalama wachache kudhibiti mamilioni ya watu,kuna wakatiwanausalamawatashindwa kufanya lolote la maana kuzuia mamilioni ya watu.
 
TAIFA NI LETU SOTE MNAMUOMBEA RAIS WETU ASHINDWE ITAWASAIDIA NINI, IVI HAMJUI AKISHINDWA YEYE TUMESHINDWA WOTE ACHENI GILIBA TUMPONGEZE APATE ARI YA KUJENGA NCHI YETU TUACHE MAMBO YA KITOTO

Na kummiminia risasi Lissu, viwanda vingapi vitajengwa? Malipo ni hapa hapa duniani.
Ila duh! Mpaka nimemuonea huruma uncle kwa jinsi alivyopanic mpaka kutukana.
 
Kweli ni fresh from Uni halafu wana kuwa political advisers na kupanda ngazi mpaka juu.
Kwa sisi ni kama JK aliposhikwa mkono na JKN
Yeah JK kidogo fits the bill za kutengenezwa kuja kuwa kiongozi labda na Mwakyembe kazunguka kabla ya kufika juu be it kwa yeye ndani ya chama sana without government experiece.

Hila kuna tofauti kidogo na hawa wenzetu wanachofanya hao private secretaries kuna wa aina mbili. Kundi la kwanza direct civil employees ndio asilimia kubwa ya future makatibu wakuu wa wizara, wakurugenzi wa wizara, mabalozi, senior MI6, MI5, wakurugenzi kwenye department zingine za serikari zilizo chini ya wizara etc (uwezi kufika juu katika hizo nafasi bila ya kupitia /white hall' katika career yako).

Ukifika juu you become loyal to the state (afisa usalama) na ndio watu wanao amua nchi inaongozwa vipi kupitia permanent secretaries; ata pale chama kipya cha siasa kinapoingia madarakani wao ndio wanaamua namna gani sahihi ya sera kutekelezwa na si ajabu kukawa na compromise kama wanaona sera ilivyo ina madhara kwa taifa.

Sasa kwakuwa vyama vya siasa vimeshaelewa changamoto za ku deal na bureaucracy ya serikarini katika maamuzi yao na wao ndio wanapeleka vijana wao wanapoingia madarakani kama sehemu ya private ministerial secretariat team (forming kundi la pili) ndio hao special advisers. Hawa wanakuwa si official employees of civil services just kids with political ambitious japo wanafanya kazi na waajiriwa wengine wa serikari.

Kazi ya hao special advisers ni kufanya research on specific matters na kumpa waziri another perspective au uelewa wa kutosha ili aweze kutetea msimamo wa chama pale ambapo katibu mkuu anapokuwa na mtazamo tofauti wa namna ya kufikia sera. Na hawa ni special talent wanatokea kwenye youth wing of political party in power their role is pretty much reduced to being research assistants whilst gaining government administration work experience.

Special adviser akitoka anaenda kufanya kazi private, chamani au serikarini akisubiri nafasi ya ubunge itokee; chama kikiona kuna nafasi japokuwa kuna uhuru wa kugombea aliekuwa special adviser before ujue ndio ana back up ya chama kwenye uchaguzi wa ndani. Na si ajabu mtu akaenguliwa kama asiposhinda chama inaemtaka kama wanaona mtu wao ana potential wa kuwa kiongozi wa kitaifa.

Sio sisi katibu mkuu ajawahi kuwa ata balozi wa nyumba kumi wala ajui politics za civil services, sijui waziri ajawahi kufanya ata kazi ya chama wala aelewi misingi yake ni ovyo na chaos tupu.

Mtu ajawahi kufanya kazi ata ikulu press secretary wa raisi, Chief secretary ajawahi kuwa ata katibu mkuu katika wizara the whole thing is a mess raisi anajua anataka nini lakini hana watu wa mbinu, hakuna watu waku control kauli zake, mtu anapanga mipango na wakuu wa mikoa wakati anawataalamu ovyo kweli kweli.

 
Yeah JK kidogo fits za bill za kutengenezwa kuja kuwa kiongozi labda na Mwakyembe kazunguka kabla ya kufika juu be it kwa yeye ndani ya chama sana.

Hila kuna tofauti kidogo na hawa wenzetu wanachofanya hao private secretaries kuna wa aina mbili. Kundi la kwa ndio asilimia kubwa ya future makatibu wakuu wa wizara, wakurugenzi wa wizara, mabalozi, senior MI6, MI5, wakurugenzi kwenye department zingine za serikari zilizo chini ya wizara etc (uwezi kufika juu katika hizo nafasi bila ya kupitia white hall katika career yako).

Ukifika juu you become loyal to the state (afisa usalama) na ndio watu wanao amua nchi inaongozwa vipi kupitia permanent secretaries; ata pale chama kipya cha siasa kinapoingia madarakani wao ndio wanaamua namna gani sahihi ya sera kutekelezwa na si ajabu kukawa na compromise kama wanaona kama ilivyo ina madhara kwa taifa.

Sasa kwakuwa vyama vya siasa vimeshaelewa changamoto za ku deal na bureaucracy ya serikarini katika maamuzi yao na wao ndio wanapeleka vijana wao wanapoingia madarakani kama sehemu ya team private ministerial secretariat team (kundi la pili) ndio hao special advisers. Hawa wanakuwa si official employees of civil services japo wanafanya kazi na waajiriwa wengine wa serikari.

Kazi ya hao special advisers ni kufanya research on specific matters na kumpa waziri another perspective au uelewa wa kutosha ili aweze kutetea msimamo wa chama pale ambapo katibu mkuu anapokuwa na mtazamo tofauti wa namna ya kufikia sera. Na hawa ni special talent wanatokea kwenye youth wing of political party in power they are role is pretty much reduced to being research assistants.

Special adviser akitoka anaenda kufanya kazi private au serikarini akisubiri nafasi ya ubunge itokee; chama kikiona kuna nafasi japokuwa kuna uhuru wa kugombea aliekuwa special adviser before ujue ndio ana back up ya chama kwenye uchaguzi wa ndani nani agombee na si ajabu mtu akaenguliwa kama asiposhinda chama inaemtaka.

Sio sisi katibu mkuu ajawahi kuwa ata balozi wa nyumba kumi wala ajui politics za civil services, sijui waziri ajawahi kufanya ata kazi ya chama wala aelewi misingi yake ni ovyo na chaos tupu. Mtu ajawahi kufanya kazi ata ikulu press sercretary wa raisi, Chief secretary ajawahi kuwa ata katibu mkuu the whole thing is a mess raisi anajua anataka nini lakini hana watu wa mbinu, hakuna watu waku control kauli zake mtu anapanga mipango na wakuu wa mikoa wakati anawataalamu ovyo kweli kweli.
Hatuwezi kujilinganisha nao kabisa
Halafu cha kushangaza politicians wetu acha elimu ya siasa na kupikwa hata vitabu hawasomi.
Ni madongo na matusi.
Kwa kweli hawa wenzetu wanasomea kitu wanachokuja kukifanya baadae na wanafundishwa haswa.

Wengi wao wanatoka Cambridge
Asante kwa darsa
 
Back
Top Bottom