Nasikia 95 pia ilikua hotHivi kutatokea morali nyingine kwa wananchi kuzidi ile ya 2015
Hivi kwani wapinzani hawawezi kutusaidia kupata tume huru?
Haaaa wasibugudhiwe watakufa nayao hayo mabaya Yao mabaya tunayaona na watakufa nayo kwenye sandukunla kufaKwa kauli hizi wanategemea CCM itazidi kupendwa
Huyu naye ni mwanachama na kiongozi wa chama alichoasisi mwl.Nyerere? Kweli dunia yaenda kasi.Polepole anasema majimbo yote yenye mbunge wa ccm hata kama hafanyi vizuri asisumbuliwe na mtu. Nafikiri watanzania tunajipeleka kwenye utawala wa ki-imla kwa kushabikia chama hiki na kuua upinzani. Bado hatujaona machungu ya kuua nguvu ya upinzani. Wenzetu walioendelea kamwe hawafanyi hivi, wanajua upinzani ni muhimu na unapaswa kuwa na nguvu. Tuwe makini>
View attachment 1326648
Labda wapinzan kama wa SudanHivi kwani wapinzani hawawezi kutusaidia kupata tume huru?
Duniani kote vyeo vya vyama ugombaniwa au unataka wapite bila kupingwa kama m/kiti wenuTatizo sio CCM bali wapinzani wenye Roho mbaya na ubinafsi kupitiliza.
Wapinzani wanaogombania vyeo ndani ya vyama na kuwekeana mabifu yasiyo na maana.
Wapinzani wanaridhika kuwa wapinzani na wanaona ni dili kubwa.
Na bado mwaka huu kama upinzani ndio huu uliopo sasa CCM wataupeperushia mbali upinzani huu wa akina Mbowe,Cheyo,Lipumba, Mrema n.k.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatari sana hiiPolepole anasema majimbo yote yenye mbunge wa ccm hata kama hafanyi vizuri asisumbuliwe na mtu. Nafikiri watanzania tunajipeleka kwenye utawala wa ki-imla kwa kushabikia chama hiki na kuua upinzani. Bado hatujaona machungu ya kuua nguvu ya upinzani. Wenzetu walioendelea kamwe hawafanyi hivi, wanajua upinzani ni muhimu na unapaswa kuwa na nguvu. Tuwe makini>
View attachment 1326648
Njaa ni hatari sana ndugu. Ile “hekima “ aliyokuwa nayo siku za nyuma imepeperuka sasa.Kila.siku najiuliza huyu Pole pole amepewa nini na CCM. Mbona kabadilika sana katika muda mfupi?
Chezea njaa wewe!Kila.siku najiuliza huyu Pole pole amepewa nini na CCM. Mbona kabadilika sana katika muda mfupi?
Kazi yao nao nikulilia tu....itabidi tufanye mpango tusajili chama kipya cha kimapinduziSio kwa upinzani huu wa sasa, upinzani mzuri utakuwa na watu waliozaliwa 1990's+