msyomole
Member
- Aug 15, 2019
- 33
- 30
Hata mm nipo nakula rumbaHuu ndio uzuri wa Chama cha siasa kinachosimamia misingi ya haki , huwa mnajiachia tu kwa vile hakuna kulogana wala kinyongo .
Hebu jionee mwenyewe
View attachment 1813631
Hata mm nipo nakula rumbaHuu ndio uzuri wa Chama cha siasa kinachosimamia misingi ya haki , huwa mnajiachia tu kwa vile hakuna kulogana wala kinyongo .
Hebu jionee mwenyewe
View attachment 1813631
Mtakatifu ni yule aliyepelekewa mgao wa pesa kutoka kwa ma RC na ma DC kupitia Kisarawe.Chadema Inapata ruzuku mamilioni ya pesa, wanashindwa kujenga ofisi, mbowe ni fisadi
Wakiamka watakushambuliaChadema Inapata ruzuku mamilioni ya pesa, wanashindwa kujenga ofisi, mbowe ni fisadi
Faru John vipi huko?Huu ndio uzuri wa Chama cha siasa kinachosimamia misingi ya haki , huwa mnajiachia tu kwa vile hakuna kulogana wala kinyongo .
Hebu jionee mwenyewe
View attachment 1813631
Ni afadhari chama kinacho jitafutia pesa kihalali kujenga miundo mbinu yake kuliko chama kilicho kikongwe lakini kimetaifisha mali za umma 85% na kuzimilikisha kwenye chama, sasa hapo sijui chama gani hakina hakina maliWrite your reply...uhuni tu hapo, hakuna lolote, chama miaka zaidi ya 20 hakina hata ofisi
Aisee!Wapo ukumbi gani nikawanunulie Bear?
Furaha ya mwenyekiti kutangaza kuachia ngazi?Huu ndio uzuri wa Chama cha siasa kinachosimamia misingi ya haki , huwa mnajiachia tu kwa vile hakuna kulogana wala kinyongo .
Hebu jionee mwenyewe
View attachment 1813631
Kweli mkuu unawezaji kuvuta bangi mbele ya mvutaji mkuu Kamanda Mbowe si utafukuzwa chamaUkumbi huu hauruhusu wavuta bangi