VIDEO: CCM wananitishia maisha - Rev. Munishi

VIDEO: CCM wananitishia maisha - Rev. Munishi

Status
Not open for further replies.
ndo nauliza ni yule wa wimbo wa malebo aliekuwwaga jambazi then akaokoka
na kwenye siasa anatafuta nini asiyetulia akachunga kondoo wake?
Huyu munish kuna cku kama wiki mbili zilizopita alijaza wa2 ubungo hii ikanionesha wa2 wanamkubal kidogo.
 
Huu mji kuna kitu ambacho unaweza fanya hadharani then ukakosa watu wa kusimama na kushuhudia?
 
Huyu jamaa ni mchaga tena wa rombo,mwanzo alikuwa jambazi mkubwa wa magari nairober ila saivi ndo kaokoka so be care

Unaongelea mambo ya mwaka gani? Munishi ni mlokole wa miaka mingi, nakumbuka mwaka 1982 alikuja Mwanza akiwa na Moses Kulola kuchapa injili. Alikuwa akitumia accordian ndogo sana na iliyochakaa. Mzee mmoja anaitwa Gombanila akaahidi kumnunulia accordian kubwa ambayo akaitumia kwa muda mrefu.
 
Huyu Mchungaji na mwimbaji mashughuri wa nyimbo za injili ni miongoni mwa waliolalamika sana kutishiwa maisha na CCM. Alilalamika sana jinsi CCM itumiavyo dola kumtishia na kuitishia familia yake huko Arusha na Moshi. Kwa sasa huyu mchungaji yuko nchini Kenya akifanya shughuli zake za kidini na uimbaji.

 
Last edited by a moderator:
Mwambie achukue tahadhari sana, serikali iliyopo madarakani haipendi kuambiwa ukweli wala kukosolewa
 
Hubiri dini acha siasa munishi!
 
watakuua mchungaji na watatengeneza clip nyingine ikimuonesha sugu akipanga njama za kumteka mzee wa upako
 
nilikuwa nampenda sana huyu mwimbaji,tena alitishiwa maisha enzi za utawala wa awamu ya tatu,na sasa hii tabia imeota mapembe, mwisho wa ubaya ni aibu 2015 nchi itakuwa huru na kila raia atakuwa huru kuishi anavyotaka ilimradi asivunje sheria Almighty God Bless us
 
Hubiri dini acha siasa munishi!

sio siasa mtu anaposema ukweli anaambiwa siasa,au kuna sheria inasema nyimbo za injili zisiwe na mashairi ya kuelezea uozo wa utawala.
 
mchungaji ana hamu ya kuhubiri neno la mungu akiwa na jicho moja la kulia!!
 
Wauwaji wamejulikana na video hii haifanani kabisa na ya e'Ntare Rwakatare. Hapo nimejua original na nukushi
 
Hubiri dini acha siasa munishi!
Nata, nahisi hilo jicho lako halioni sawa sawa.... Mchungaji haruhusiwi kuwa mwananchama wa chama cha siasa? Au mchungaji haruhusiwi kuwa mpinzani wa chama cha siasa?
 
Nata, nahisi hilo jicho lako halioni sawa sawa.... Mchungaji haruhusiwi kuwa mwananchama wa chama cha siasa? Au mchungaji haruhusiwi kuwa mpinzani wa chama cha siasa?
NAdhani limeona hatari ya yeye kushindqna na serikali, kwa kupitia Kelele aende mahakamani Kama anaushahidi wa kutosha. Maana amekaa kihubiri hubiri hapo kukemea ni kidini zaidi aende mahakamani. Hili liko kikalisali zaidi!
 
Msanii tu huyo hana lolote.

Ndio ni msanii wa nyimbo za injili. Sasa mbona akifikisha ujumbe wake kwa njia ya nyimbo anatishiwa? Ni ajabu kuona serikali inawahitaji viongozi wa dini katika kuhamasisha shughuli mbalimbali za maendeleo, pamoja na kupiga kura bali inawatishia maisha pale wasimamapo na kuikosoa serikali hiyo
 
Usikute ni kitengo cha rwakatale wanamfanyia kama zito
 
sio siasa mtu anaposema ukweli anaambiwa siasa,au kuna sheria inasema nyimbo za injili zisiwe na mashairi ya kuelezea uozo wa utawala.

Namshaur Mchugaji kwa vile yupo kenya akae hukohuko maana hii nchi ukisema uozo wao andika wosia kwa familia yako.
Mchungaji kaa huko mpaka tukipata uhuru 2015 ndo urudi kwenu kwa sasa watakutoa meno kucha na jicho bure.
MUNGU akubarik mtumish
 
sio siasa mtu anaposema ukweli anaambiwa siasa,au kuna sheria inasema nyimbo za injili zisiwe na mashairi ya kuelezea uozo wa utawala.

uwezi tenganisha dini na siasa, siasa na dini ni mapabha.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom