Hivi Mirembe nako kuna mgomo? mbona wameacha wateja wao wanazurura mitaani au huyu Munishi ni chizi fresh.
wewe mbona uko hapa?
Na yeye ndo walewale!?
wewe mbona uko hapa?
Si unaona hata location yake ni "Darini"
Hahahahaahh...nimecheka sana nilivyoona hiyo clip. Huyu ni mchungaji au?? Sasa nimeshaamini kuwa hawa wenzetu zimefyatuka kidogo!!
huyu ni yule jamaa wa
malebo?lol inaelekea kuna fuse inaloose au kunasehemu oxygen haifiki
ubongoni mwake alisemea haya maneno kwenye tv os chumbanikwake mkee
akawa anarecord kwa simu?