Mkuu utaratibu uhujui? ulipaswa kuweka source, kwa maana ya web au link yakutupeleka kwenye taarifa halisi. Ila mimi kama member mpenda haki, acha nitaarifu uongozi haraka sana ili watoe mwongozo wao kwenye hii thread yako.
cc: Paw, Cookie, PainKiller...
cc: Paw, Cookie, PainKiller...
Last edited by a moderator: