Huyu Mchungaji na mwimbaji mashughuri wa nyimbo za injili ni miongoni mwa waliolalamika sana kutishiwa maisha na CCM. Alilalamika sana jinsi CCM itumiavyo dola kumtishia na kuitishia familia yake huko Arusha na Moshi. Kwa sasa huyu mchungaji yuko nchini Kenya akifanya shughuli zake za kidini na uimbaji.
Munishi alikuwa anafanya siasa za kutumiwa badala ya kuhubiri injili akaanza kuhubiri siasa za chuki
Hahaha...
Nimeangalia Clip nimcheka mpaka basi...
Katika Jina la yesu Kikwete ondoa usalama wa Taifa...
Katika jina la yesu Kikwete shetani shindwa....
Katika jina la yesu mungu....(Mungu mwenyewe baba yake wa kambo fundi seremala)
ccm should die and perished away.
Jina linalomfaa huyu ni shetani munishi
Itafikia mahali sasa hawa TISS na polisiccm watakuwa wanafuatilia kila mtu aliyetofauti na mawazo ya ccm.
lakini hatushangai kitu chochote kinapopoteza uhai huwa ni kawaida kutafuta pa kujishikilia ili ijiokoe
Katika wapumbavu humu jamii forum wewe pia ni mmoja wao. Akili yako iko kimasabuli zaidi