Hydrobenga
JF-Expert Member
- Jun 24, 2012
- 1,127
- 212
MCHUNGAJI ...acha kuchanganya dini na siasa...
Si umeona UAMSHO walivyochanganya dini na siasa
Si umeona UAMSHO walivyochanganya dini na siasa
Nata, nahisi hilo jicho lako halioni sawa sawa.... Mchungaji haruhusiwi kuwa mwananchama wa chama cha siasa? Au mchungaji haruhusiwi kuwa mpinzani wa chama cha siasa?
NAdhani limeona hatari ya yeye kushindqna na serikali, kwa kupitia Kelele aende mahakamani Kama anaushahidi wa kutosha. Maana amekaa kihubiri hubiri hapo kukemea ni kidini zaidi aende mahakamani. Hili liko kikalisali zaidi!
Hiyo ndiyo dini ya kweli na Roho safi ya unabii katika kukemea dhuluma bila hofu!!Hubiri dini acha siasa munishi!
Kwa hiyo kama anafuatwa fuatwa akae kimya tu?watu wengine bwana kwa kupenda sifa??? yaaani tulikua tushamsahau kabisa kama huyu jamaa yupo, pastor wewe hubiri neno la Mungu tu sidhani kama kutakua na wa kukufuata, ila publicity mbaya wakuu
Endelea tu kama hawajakutoa macho!Huyu Mchungaji na mwimbaji mashughuri wa nyimbo za injili ni miongoni mwa waliolalamika sana kutishiwa maisha na CCM. Alilalamika sana jinsi CCM itumiavyo dola kumtishia na kuitishia familia yake huko Arusha na Moshi. Kwa sasa huyu mchungaji yuko nchini Kenya akifanya shughuli zake za kidini na uimbaji.
Hivi Munishi kesi yake ya ujambazi iliishaje?
Ulikuwa umemsahau wewe na nani?watu wengine bwana kwa kupenda sifa??? yaaani tulikua tushamsahau kabisa kama huyu jamaa yupo, pastor wewe hubiri neno la Mungu tu sidhani kama kutakua na wa kukufuata, ila publicity mbaya wakuu