Vichwa Hivi vya Azania Viliishia Wapi?

Vichwa Hivi vya Azania Viliishia Wapi?

hahahah, atakuawa mwal Major.
alikuwa na nuymba yake kule karibu na mpaka wa Jangwani sec ...kwenye kijigeti cha kuforge!
 
Watu walikuwa wanafurahia point 7 na point 3 utadhani ilikuwa yawapa ajira. Wengi wao walioenda Muhimbili walikuwa wanachechemea sana. Sijui kwanini...
 
Mkongo........lutwaza....madam Darphy.........mkuu kwayu......baraza kule maabara ya biology........hussein mihogo kule nyuma forest.......beka.....shebby kipandezo......john mbawala.........Dogo tiff.......mbwela.......DMX........simon black.......kimarija........mbuna........man otega......kisamo........and the list goes on.....!Nikikumbuka hadi natamani nirudishe siku nyuma niishi tena ule wakati .......maana .......azania was my home kwakweli.......kumaliza haikuwa rahisi........its me.....azaboy with coded name zifuatazo Samclick.....zinja.......au pantalon.
 
You are known far and wide ....you are always our guide we will never forget you...........(mistari ya school anthem)
 
kuna jamaA nilikuwa namckiA akiitwA ZINJA tenA jamaA alikuwa wazirI wa ulinzI jamaA cjuI yupO waP.
 
King Kong II]Kuna maticha hawa:
Matley-Hesabu
FUVU-Hesabu
Matawa-Kiswahili & Geograph
Mgude-Chemistry
Mkongo-Physics
Hivi Tokyo(jina alilipata kwa ajili ya kuvaa suruali za Tokyo) hivi anaitwa nani jina lake halisi na alikua anafundisha somo gani?

Tokyo ndio mwalimu mosha wa physics NafikirI,alikuwa mlevi kiuno kidogooooohhhh kama nge,anachojua ni kuuza past paper
 
Sana... Wanaongelea kumaliza shule 2007.... Nilikuwa najaribu kusikilizia stories niunganishe na mimi lakini sijaokota hata moja.. Hapa nimempata Mama Shija tuu ambaye alikuwa mtaalamu wa Chemistry alitokea Tambaza kwenda Azania...

Mama Shija alikoswa Na mabomu ya tambaza walipokuja kulipua lab ya chemistry mwaka 1994 Nilikuwa form 3
 
kumbe wewe wa kale shekhe..
Samahani siku ile nilikukosea heshima ndugu..tafwazari sana..

1996 ulikuwa form gani?mm Nilikuwa five ndio tumeanzisha high school tambaza tumechanganywa Na Na mabraza kaka Na masista duu wa mzizima,shaaban Robert, etc.tuliteseka sana Tuliotoka o-level Azania Na tambaza,maisha yalikuwa magumu ksbb hakuna chips dume Na juice ya barafu za maiti
 
kuna msela aliitwa dmx tulimaliza nae 2007........sasa hivi ni dereva wa DALADALA MWENGE---TEGETA....
Mkuu kumbe ulimaliza mwaka 2007 bila shaka ni GREEN LABEL.....yule mchizi alikuwa na masifa ya ajabu sana.......yeye na jamaa yake wa karibu BNB
 
1. Wale maticha waliokuwa wanauza past papers - Mosha na mwenzake wako wapi?

2. Mwalimu Hatibu aliyekuwa anajulikana kama 'Ibara' kutoka na kunukuu 'Katiba' naye kaishia wapi?

3. Kulikuwa na ticha kichwa wa kemia alikuja miaka ya 90, anaitwa nani?

4. Ticha wa PE aliyetupigisha mazoezi ya mpira naye anaitwa nani?
Mwalimu khatibu yupo njombe njia ya kwenda makete ni mkuu wa shule,jina la shule silikumbuki vzr,nilikutana naye nikienda bush
I
 
Point saba zilikuwa zinatokea mara nyingi tu Azania. Omary Mtiga alipata 7 mpaka alipewa scholarship kwenda kusoma Uingereza. Nilikuwa Azania wakati wa Omary Mtiga,Mathias Michael,Kipimo,Batman,Sebastian Ndege,Jagna 'footballer'.

Wakati huo Salum Salum mwalimu wa michezo,mama Dath Chemistry O level,Mama Shija Chemistry A level,Peter Lebabu Mashanga(Rip) English huku akiwa ni muwakilishi wa British Council pale Azania.

Vichwa hivyo pamoja nami tulimkuta Kisamo kama Head Master na Mzee Meja second Master ingawa baadae alikuja Kwayu.

Wakati huo tulivaa kaptula za kaki na lazima kitambaa chake ukanunue pale Urafiki. Ilikuwa mwiko kuchomekea shati,ukikutwa umechomekea unachapwa bakora za kutosha! Msosi ulikuwa wa bure na wakutosha enzi zile. Uwe boarding uwe day wote mnagonga menu. Niliyapenda maisha yale sana!

Kweli kabisa,Sebastian ndege alikuwa mbele yangu kwa kidato kimoja. Nilikuwa monitor form 1L mwaka 1992 sitasahau nilipigwa ksbb wababe walininyang'anya sufuria la nyama Na kabichi wakaniachia Ugali ndio niugawe kwa watu wa class,

Wao wakaenda Na mboga jangwani secondary,huyu batman Na delphinius alphonce sitawasahau mpaka nilivunjika mguu, Na umonita nikauacha.
 
Back
Top Bottom